Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kaka, ni nchi ndogo sana Finland yenye strategic plan kubwa na za muda mrefu.Pia moja kati ya Nchi zinangoza kwa kujali raia wake. Kuna kukurupuka kwenye kutoa mada
 
Japo sikubariani na Urusi kuvamia mataifa hayo mengine. Lakini nayaona hayo mataifa kama yanajiendesha kijinga kabisa. Iweje mpaka sasa hawajajipanga kwanza kuhusu hili? Ili-hali Nishati muhimu kama gesi na umeme mnategemea kutoka Taifa mnalopingana nalo kisera? . Ilikuwa kitambo sana toka wajichomoe kutoka Soviet wangeendelea na mipango wa kujitoa kutoka kutegemea gesi na umeme wa Urusi. Na hiyo gesi ndio kete yake Putin.

Kwanza badala ya kutegemea gesi ya kupitisha kwa bomba angalau wangeanza na ile gesi ya kubebwa hata kwa tren au kwa magari maalum. Hata nchi za ulaya zote wanaotegemea gesi toka urusi ilitakiwa kitambo sana angalau wangeanza kutumia hii njia. Mpaka kufikia sasa wangekuwa wamejirundikia gesi ya kutosha kwenye maghala yao. Kwa mtindo huo hata urusi wenyewe wasingefanya chochote dhidi yao ksbb biashara yao ingekuwa ni ile ya papo kwa papo
 
Si bora Russia atakukatia umeme na Gas! US ndo analeta jeshi na Muungano wake wa Nato kuja kukung'oa kabisa! Alafu ata ao aliowakatia Gas mwisho wa siku mpango ni uleule unataka nunua kwa Ruble ili thaman ya pesa yao ipande sokon.

Sent using Jamii Forums mobile app
ikifika muda mtamkosoa tu Putin , km mzungu alifungua Afrika ili kutimiza mahitaji yao , amin hawawez kukosa solution kwenye hili , solution ikipatikana itakuwa ni mwendo wa kumsusia Urusi , waarabu wakipata akili tu basi Urusi hana chake
 
Kwani Putin alishawah kutishia kuivamia Finland? Inaelekea ata sababu za kupelema jeshi Ukraine huzujui! Yani ufahamu kabisa kuwa Marekani lengo lake kuu ni kuitumia Nato ili aisogelee Russia? Hujui kama kuna washauri walishauli huko nyuma kuwa mpango wa NATO kujitanua kuelekea mashariki eneo la mashariki mwa ulaya patakuja kuwaka moto?

Hujui kuwa kuna watu walishaiambia US kuwa ukitaka kumminya Urusi basi hakikisha unaifuata wewe kule iliko atakama kwa kuwanunua viongozi waliopo nchi jiran na Russia wanunue ila ukiruhusu Russia ikufate kama ilivyokafika Ujeruman Mashariki hutoiweza?

Hujui kuwa miaka ya 60 Marekan akitaka kuishambulia CUBA sababu tu Russia alikuwa anaweka makombora yake ya Nuclear na Marekan akaona kabisa kuwa Russia ataitumia Cuba kumchapia siku moja?

Unafikiri Marekan kufika mpk Taiwan ni kwa bahati mbaya? Marekan anachotaka yeye ni kuwafikia maadui zake kupitia mataif mengine akawachunguze na ata siku mkikorofishana anapigane vita kutumia mataifa yenu si faifa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwan USA hajaisogerea URUSI bado ? ( kwa mujibu wa hoja yako ) kuna muda tumieni akili kuliko mahaba
 
ikifika muda mtamkosoa tu Putin , km mzungu alifungua Afrika ili kutimiza mahitaji yao , amin hawawez kukosa solution kwenye hili , solution ikipatikana itakuwa ni mwendo wa kumsusia Urusi , waarabu wakipata akili tu basi Urusi hana chake
Unapokosea ni pale unapohisi West ndo wanaakili ya kuwaza hayo huku ukiwaacha West kuwa hawana uwezo wa kuwaza kesho yao.

Mmarekani bado anaangaika wapi atapata mafuta na juz karudi tena Venezuera kwa Maduro waondoe tofauti zao ili wapate mafuta yake, ila wanasahau kuwa walipiga vikwazo sana 2019 ili tu Maduro wamuangushe ila Urusi ndo ilienda kumsaidia Maduro kubaki Madarakan mpaka leo.

Marekani na washirika wake usikute kesho akaenda kwa Iran wazungumze ili apate mafuta na ikitokea kesho na kesho kutwa wakazozana akawatema akarudi kwa Russia! Kwaiyo zingatia mataifa ya Magharibi hayana rafiki wakudumu zaidi ya maslah yao tu.
 
Ruble ni currency ya kawaida kwenye uchumi wa dunia. Level zake haipo hata currencies 10 duniani zinazotumika sana. Switzerland haifiki hata 0.5% ya eneo la Russia ila fedha yake Swiss Franc inaizidi mbali umuhimu hiyo Ruble.

Ruble ikue kwa nafasi yake ila sio tishio wala haina impact sana kwenye dunia. Ingekuwa Japan ndio huwa wanafanya devaluation, China ndio kabisa hiyo ni michezo yake ila Russia hata itoke from 1$ = 62 RUB ipande mpaka 1$ = 30 RUB bado dunia haitofeel sana. Vita wakati inaanza walikuwa wanachezea kwenye 80 sasa hivi wako 60 na kitu
Jana ilikuwa 52 rubles mkuu kwa mwendo huu itafika 30 kabla ya august.
 
Kila siku mnaleta hizi porojo. Urusi hawezi kusavaivu bila kuuza gesi ulaya.
Na ulaya haiwezi kusavaivu bila kununua gesi RUSSIA
Nandio maana kuthibitisha hilo mpaka sasa toka jamaa aamze kutoa kichapo mshakaa vikao vingapi EU ila vyooote mmeshindwa kufikia muafaka wakuachana na GAS ya RUSSIA?!?
Nanikwambie muafaka unashindwa kufikiwa sio kwabahatj mbaya nikwamakusudi sababu wanajua bila ya RUSSIA kuwapa GAS hao EU hawatoboi hata weeek
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ulaya haiwezi kusavaivu bila kununua gesi RUSSIA
Nandio maana kuthibitisha hilo mpaka sasa toka jamaa aamze kutoa kichapo mshakaa vikao vingapi EU ila vyooote mmeshindwa kufikia muafaka wakuachana na GAS ya RUSSIA?!?
Nanikwambie muafaka unashindwa kufikiwa sio kwabahatj mbaya nikwamakusudi sababu wanajua bila ya RUSSIA kuwapa GAS hao EU hawatoboi hata weeek
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa kwa kutulia hata hao Zimbabwe walianza hivi hivi kwa kutunisha misuli kwl hadi Mgabe akamuita Obama shoga.
 
anachofanya Urusi ni mistake kubwa sana maana ana wa alert hata wanategemea bidhaa zake kwa > 60% basi waanze kujikwamua cos wanatambua ipo siku yatawakuta ya EU
Upo sahihi MKUU kama watu wanavyopambana dhidi ya dola
Nandio inatakiea iwe hvyo asitokee mpuuzi mmoja kukontrol mamia ama mamilioni ya watu niupuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
Unasemaaa???? Mziki kamili wa Russia haujaingia Ukraine? Acha utani basi.
 
Wanavyocoment kishabiki hapa unabaki kushangaa,wanaowaona hao Finland na Sweden ni wajinga sana kwamba hawajui kuwa Putin amekuwa akitumia hicho kigezo siku zote kuwatisha na walikuwa wanatishika.Iweje leo wameamua liwalo na liwe pamoja na kukata hiyo gesi na umeme,nina uhakika hawatokosa hizo huduma maana walishajua mapema na mchakato wa kujiunga NATO utaendelea kama kawaida.Ukiona Kobe yuko juu ya mti.........[emoji846]
Ujue katundikwa
 
wanaingia kwenye situation mpy lazima bei zichange kwa muda mpk wakiwa stable hapo ndipo Urusi itakuja kumlaumu Putin kwa maamuzi ya ss hv
Sasa kama bei inapanda mnasemaje walijipanga!!?
Anaejipanga hua haathiriki namatokeo hasi yajambo fulani maana hua kaishajiandaa
Wanachofanya nikuwaumiza RAIA wao bila sababu zakimsingi nawakati huo huo hawatakaa waingie NATO
Mizungu sikuwahi kufahamu kama akili zao hazina akili kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliki yako inakuambia only Europe ndio watumiaji wa oil na gasi?? Umeona vikwazo tu kidogo dunia ilivyotingishika na hapo bado anauza
Mchokolo, swali ni kina nani unaowafahamu wanaweza replace soko la gesi la ulaya? Mbona ni swali jepesi sana?
 
Wewe unafikiri Finland itakufa njaa? Mnafurahia ufara wa fara fulani ambaye ameamua kuvamia nchi huru kibabe tu. Halafu nchi hiyo inapojitetea mnaumia. Misimamo mingine ni ya kishetani kabisa. Kama Idd Amin alivyovamia Kagera 1978, ulitaka Nyerere afanyeje kama siyo kutetea ardhi ya Tanzania?
Wanafikiri finlanda ina vilaza kama hapa kwetu, nchi ina pesa ile. Kwa namna fulani ameshajiandaa.
 
hv kukatiwa umeme & gesi na kuharibika miji , kipi kigumu ku recover ?
Kukatiwa umeme hakuna uhusiano nakuharibiwa miji
Maana umeme wamekatiwa na kichapo wanaweza kula kama kawaida
Nabado NATO wasiwe nalakufanya lolote lile
Hata UKRAINE alidhania kuiacha CRIMEA kungemnusuru na kichapo ila leo huyo anakanywa na MZAZI WAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom