Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Hiyo Ulaya ni pamoja na Poland, Bulgaria na UK na Ufaransa ?

Kabla ya gesi ya Russia kuanza kuchimbwa na kuuzwa Ulaya haikuwa inasavaivu ??
Na ulaya haiwezi kusavaivu bila kununua gesi RUSSIA
Nandio maana kuthibitisha hilo mpaka sasa toka jamaa aamze kutoa kichapo mshakaa vikao vingapi EU ila vyooote mmeshindwa kufikia muafaka wakuachana na GAS ya RUSSIA?!?
Nanikwambie muafaka unashindwa kufikiwa sio kwabahatj mbaya nikwamakusudi sababu wanajua bila ya RUSSIA kuwapa GAS hao EU hawatoboi hata weeek
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mizungu isiyo na akili ndio viongozi wako wanashinda huko tangu nchi zenu zipate uhuru kwao hao hao wakiomba misaada na mikopo.
Sasa kama bei inapanda mnasemaje walijipanga!!?
Anaejipanga hua haathiriki namatokeo hasi yajambo fulani maana hua kaishajiandaa
Wanachofanya nikuwaumiza RAIA wao bila sababu zakimsingi nawakati huo huo hawatakaa waingie NATO
Mizungu sikuwahi kufahamu kama akili zao hazina akili kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Mrusi wa buza unayeshindia kula miguu na utumbo wa kuku huwezi kuzielewa vizuri nchi za ulimwengu wa kwanza kama Finland na Sweden zinazokupa misaada kuliko raia wake na viongozi wake.
Suala la gas kwa ulaya bado halina mbada na sio leo wala kesho watapata mbadala wa gas ya Urusi. Usiwaamini sana Wazungu eti huwa hawaingii cha kike. Finland na Sweden wameingia cha kike kwa mihemuko tuu bado wanahitaji sana Umeme wa Mrusi na gesi yake.
 
Kama sio uongo unalazimisha weka kiasi au thamani ya mafuta US waliyonunua toka Urusi mwaka huu na kampuni hata moja la Marekani lililonunua hayo mafuta.
Ndio maana nimekuambia mnatanguliza sana ushabiki badala ya uharisia.

Haya niambie kwann Marekani anaendelea kununua mafuta ya Urusi kwa mlango wa nyuma wakati ameyapiga marufuku?

Kwanza kuhusu Poland ni Ujerumani yenyewe ilitangaza kuwa ita isambazia gesi Poland baada ya Urusi kusitisha usambazaji sasa sijui tukusikilize ww au viongozi wa Ujerumani.

Kuhusu Uchumi Urusi ni moja wapo ya taifa lenye nguvu za kiuchumi barani ulaya na ni taifa la 5 kwa Uchumi mkubwa barani ulaya kati ya nchi zaidi ya therathini na kitu.

Alafu kila taifa duniani lina Umuhimu katika nafasi yake na kutokana na ilicho nacho.
Mfano kwenye sekta ya viwanda nchi kama Japan, China, Marekani,na Ujerumani ni mataifa muhimu sana.

Kwenye sekta ya nishati mataifa kama Urusi, Qtaar, Saudia,UAE,Iran na Venezuela ni mataifa muhimu sana.

Kwenye sekta ya kilimo na usambazaji wa chakula duniani mataifa kama Urusi, Ukraine,India, Thailand na Pakistan ni mataifa muhimu sana.
Kila taifa lina Umuhimu wake.


Ulaya kamwe haotakuja kuacha kutumia nishati ya Urusi ni kuomba mungu atupe uhai tu,watajifanya wamepiga marufuku lakini wanaenda kuinunua kwa mlango wa nyuma.
Hata kwenye suala la Rubo kwenye vyombo vyao vya habari wanakataa lakini nyuma ya pazia wameruhusu makampuni yao kununua kwa Rubo.
 
Finland walishasema week iliyopita kwamba Russia wakate gesi na mafuta maana wanajitosheleza,gesi na mafuta wanayochukua toka Russia ni 10% tu

Huko watapokwenda kuchukua safar hii lazima itakua juu,Russia inawauzia kwa bei ya chini zaidi!
 
Finland inajiunga na NATO,
Nayo ataivamia?
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
 
Wameanzia 132 mzee now wako half way around 58 against usd
Ruble huchezea kwenye 80 mara zote, hapo ndio peg yake ilipo. Ilifika 132 kama response ya sanctions ambapo speculators waliona athari za sanctions zitayumbisha uchumi.
Hata hapo ilipo kwenye 50 na kitu bado sio nafasi yake ya kudumu, fluctuations zitaihamisha. Stable currency haiwezi panda au kushuka ghafla
 
Kwa hiyo Putin ataivamia na Finland ?
Finland kwasass ni kipolo cha pilau. Ngoja tumalize mazoezi tunayofanya Ukraine. Finland imeingizwa chaka na USA kama ilivyoingizwa Ukraine
 
Kwa hiyo Putin ataivamia na Finland ?
Finland kwasass ni kipolo cha pilau. Ngoja tumalize mazoezi tunayofanya Ukraine. Finland imeingizwa chaka na USA kama ilivyoingizwa Ukraine
 
Akili yako haina akili. Anayetetea territorial integrity ni aliyevamiwa katika mipaka yake. Ukraine ndiye kavamiwa. Sehemu ya nchi yake imekaliwa na Russia. Simple. Tuache ushabiki wa kimpira. Watu wnakufa. Fikiria ungekuwa wewe, mama yako ama baba yao.
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
 
Ushamba tu unakusumbua. 2003 wakati Iraq inavamiwa na US, ulikuwa haujazaliwa. Sasa unaongelea uzi gani. Kushabikia mauaji ya watu wasiokuwa na hatia ni ushetani wa hali ya juu sana.
Ningekuelewa kipindi kile Iraq, Syria, Libya n.k. zinavamiwa ungeanzisha uzi wa kupinga. Lkn sasa acha nao wenye kupiga wengine na kufanya organs Smuggling waonje tamu ya jiwe.
 
Ruble huchezea kwenye 80 mara zote, hapo ndio peg yake ilipo. Ilifika 132 kama response ya sanctions ambapo speculators waliona athari za sanctions zitayumbisha uchumi.
Hata hapo ilipo kwenye 50 na kitu bado sio nafasi yake ya kudumu, fluctuations zitaihamisha. Stable currency haiwezi panda au kushuka ghafla
Sawa wacha tuone mkuu maana katika hii dunia ni Dhahabu, Mafuta na Gas ndio yana determine uchumi utasimama vipi!

Ila nikukumbushe tu kuwa Russia sio mjinga akae akisubiria Ulaya wa withdraw kwenye uteja wa mafuta kwake. Soon anahamishia bomba china na India from there on wengine watajitokeza tu.
 
Watu wote tumeganyika - ama tuko upande wa Shetani ama wa Mungu. Hakuna neutral. Unajua upande uliopo kwa akili yako hiyo.

Shida yenu ni moja, hamtaki kukubali ukweli wa kwamba shetani kuu la ulimwengu huu ni marekani. Hilo jini kuu, limenyonya damu ya watu wengi wasio na hatia, kutia ndani Patrick Lumumba, katibu mkuu wa UN aliyefia Zambia; orodha ni ndefu. Sasa zamu yao imeanza kuwadia, ushauri ni kuwa, mtulie tu sindano iwaingie.
 
Mwambie mamako aache upimbi. Upimbi ni huo unaoonyesha. Nani anasapoti nchi ulizotaja kuvamiwa? Una akili wewe? Unaleta ushabiki wa Yanga na Simba kwenye maisha ya watu. Ushetani huo. Anzisha uzi wa Libya kuvamiwa, nitakuja huko kulaani yeyote mwenye kuvaimia Libya kama ninavyolaani mvamizi wa Ukraine. Kwa akili yako ndogo hiyo, unadhani nchi moja ikivamiwa basi inahalalisha nchi nyingine pia kuvamiwa?
Kwa hiyo wewe ndo mwenye hakimiliki ya kulaani siyo?

Vita vya Ukraine vimechochewa na hao unaowaabudu na kuwafanyia uchawa kenge uliyekosa manyoya[emoji35][emoji35]
 
Wew kemea hiyo nchi iliyozivamia hizo nchi ulizotaja na sio uhalalishe uvamizi wa Russia huko Ukraine kwa makosa ya wengine. Eti " kwa nini umemuuwa huyu kijana"? Unajibu "nimemuuwa sababu amemgonga mwanangu na pkpk akamuuwa" UTAFUNGWA MKUU
Low thinking.
 
Back
Top Bottom