Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

Sasa kama bei inapanda mnasemaje walijipanga!!?
Anaejipanga hua haathiriki namatokeo hasi yajambo fulani maana hua kaishajiandaa
Wanachofanya nikuwaumiza RAIA wao bila sababu zakimsingi nawakati huo huo hawatakaa waingie NATO
Mizungu sikuwahi kufahamu kama akili zao hazina akili kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
nyinyi hamuumiz wananchi bei ni tsh ngap ?
 
Kukatiwa umeme hakuna uhusiano nakuharibiwa miji
Maana umeme wamekatiwa na kichapo wanaweza kula kama kawaida
Nabado NATO wasiwe nalakufanya lolote lile
Hata UKRAINE alidhania kuiacha CRIMEA kungemnusuru na kichapo ila leo huyo anakanywa na MZAZI WAKE

Sent using Jamii Forums mobile app
mwambie Putin aingie mzigon apigwe Threesome , ww upo buza unakenua tu ila Putin ashastuka
 
au mvaa vipendo
Yesu ni Mvaa makobazi na Vipedo.

main-qimg-40522d4bc33562d29e54d588f767f8a9-lq.jpeg

Hili ndio Vazi la Yesu.

Kesho Yesu Akirudi Duniani Wakristo Mtamtukana Na Kumdhihaki anavaa makobazi na Vipedo?

Verse za Bible zinazoelezea Yesu alivaa sandal
Matthew 3:11; Mark 1:7, 6:9; John 1:27

Pia Soma hapa Vazi la Yesu
 
Wewe unafikiri Finland itakufa njaa? Mnafurahia ufara wa fara fulani ambaye ameamua kuvamia nchi huru kibabe tu. Halafu nchi hiyo inapojitetea mnaumia. Misimamo mingine ni ya kishetani kabisa. Kama Idd Amin alivyovamia Kagera 1978, ulitaka Nyerere afanyeje kama siyo kutetea ardhi ya Tanzania?
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
 
Kwa kitendo Chao cha kupeleka maombi kutaka kujiunga na nato ,mzee Putin amefunga koki za kupeleka gesi na tayari amewakatia umeme Sasa ngoma inogire raia wa finland
Kwani Putin hana BP. Si afe tu kama risasi inashindikana.
 
Tatizo lako unafikiri mi ni mjinga mwezio - kwamba nashabikia Marekani kuvamia nchi nyingine. Assumption yako ni ujinga wa hali ya juu. Ukweli ni kwamba sishabikii mtu yeyote anayevamia nchi nyingine - awe ni Idd Amin, Bush, Hitler, ama Putin. Kama una akili hata ya kuvukia barabara, utakuwa umenielewa. Hii ni vita kati ya wema na ubaya. Siyo vita kati ya Marekani na Urusi. Kama ni mbumbumbu hautanielewa.
Logically anayepinga US kuvamia nchi nyengine kibabe, hawezi kuunga mkono uvamizi wa Ukraine.
 
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
Hoja ya Idd Amin ilikuwa kama ya Russia....Uwepo wa Milton Obote tz...
 
[emoji91]I ask everyone who is resisting in Severodonetsk, Lisichansk, around these settlements to come to their senses and lay down their arms before they are driven into a corner, until they are destroyed and wounded. They have families at home, children, wives are waiting - Kadyrov[emoji91]
Huyu mwamba ni hatari Kadyrov
 
Wewe unafikiri Finland itakufa njaa? Mnafurahia ufara wa fara fulani ambaye ameamua kuvamia nchi huru kibabe tu. Halafu nchi hiyo inapojitetea mnaumia. Misimamo mingine ni ya kishetani kabisa. Kama Idd Amin alivyovamia Kagera 1978, ulitaka Nyerere afanyeje kama siyo kutetea ardhi ya Tanzania?
Iraq ulikuwa mkoa ndani ya Marekani si ndio?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tutafakar upande wa pili, yaani finland. Wao hawakujua kuwa watakatiwa umeme na gas? Ni ushabiki tu usio na maana haya mataifa yanayomzingua russia yanaonekana tayari yalishajiandaa kwa muda mrefu. Kama hiyo gas na umeme ndo vingekuwa ni maisha yao, wala wasingethubutu kupeleka hayo maombi NATO, ila mpaka wanapeleka maana yake kuna namna wamejiandaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa, tusubiri tuone
FB_IMG_1652335472729.jpg
 
Ni emotion tu za wanasiasa kiuharisia wanaumia mbona EU wamebadiri gia angani wanaendelea kununua na walitaka waisuse wameshindwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na saivi kashika bandari ya Mauripol haya msosi hauindi na mbolea watasalimu Amri tu
 
Kwa hiyo Putin ataivamia na Finland ?
Pamoja na kumtusi jamaa ila wewe ndio mtupu kabisa. Unadhani Russia ni mwendawazimu kivamia Ukraine bila sababu? Hivyo ni vita. Na vita vinagharama ikiwemo kupoteza wanajeshi wako na vifaa. Mrusi sio mjinga kama unavyotaka tuamini.

Upande mwingine ungejiuliza kwanini nchi za NATO wanayataka sana hayo mataifa hata kwa damu na kuangamizwa kwa miji yao!?

Ukiyatafakari hayo,kuwaunga mkono hayo mataifa na kumpinga Russia, inaonesha hata zakuvukia barabara hazijabaki

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Uongo mtupu.

UK alikuwa ananunua chini ya 4% ya gesi toka Urusi hata kabla ya vita, US hanunui gesi ya Russia kabisa hayo malipo ya ruble labda ya kununua vodka
Hata UK na US walisemwa hivi hivi ila now malipo ya ruble yanazidi kushamiri hapo Gazoprambank huku ruble ikiichua vizuri USD sokoni.
 
Kwa hiyo sasa hivi Finland ilipotangaza inajiunga NATO Putin ataivamia?
Kwani Putin alishawah kutishia kuivamia Finland? Inaelekea ata sababu za kupelema jeshi Ukraine huzujui! Yani ufahamu kabisa kuwa Marekani lengo lake kuu ni kuitumia Nato ili aisogelee Russia? Hujui kama kuna washauri walishauli huko nyuma kuwa mpango wa NATO kujitanua kuelekea mashariki eneo la mashariki mwa ulaya patakuja kuwaka moto?

Hujui kuwa kuna watu walishaiambia US kuwa ukitaka kumminya Urusi basi hakikisha unaifuata wewe kule iliko atakama kwa kuwanunua viongozi waliopo nchi jiran na Russia wanunue ila ukiruhusu Russia ikufate kama ilivyokafika Ujeruman Mashariki hutoiweza?

Hujui kuwa miaka ya 60 Marekan akitaka kuishambulia CUBA sababu tu Russia alikuwa anaweka makombora yake ya Nuclear na Marekan akaona kabisa kuwa Russia ataitumia Cuba kumchapia siku moja?

Unafikiri Marekan kufika mpk Taiwan ni kwa bahati mbaya? Marekan anachotaka yeye ni kuwafikia maadui zake kupitia mataif mengine akawachunguze na ata siku mkikorofishana anapigane vita kutumia mataifa yenu si faifa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga wapo wengi duniani
Iddi Amini aliivamia Tanzania kwa sababu ya ujinga.
Sadam aliivamia Kuwait kwa sababu ya Ujinga.
Russia chini ya Stalin iliwahi kuivamia Finland.
Hivi Russia ni wajinga kiasi hicho kwamba wana vamia tu kijeshi nchi kama Ukraine bila sababu za msingi?

Au kuna mjinga mmoja yupo kati yao anatekeleza malengo yake binafsi?
 
Kitakachotokea ni gesi ya waarabu iliyokuwa inauzwa huko ambako Russia anapeleka gesi yake kwa sasa itashuka bei na hivyo waarabu watahitaji kuongeza mauzo yao Ulaya kuliko kuuza kwa bei rahisi.
Kwani European countries hawana mbadala wa gas ya Russia? Mbadala upo tatzo ni gharama kubwa hzo gas nyingine zinatoka mbali mpk zikifika kwenye nchi zao pamoja na cost za usafirishaji bei ina kuwa juu zaidi inasababisha mfumuko wa bei
 
Marekani ndiye ameivamia Ukraine??
Kama unazo akili angalau za kuvukia barabara ungekuwa unajua aliyeanzisha vita ni Urusi na Putin alipoivamia Ukraine akidai taifa linaloongozwa na mtu mwenye asili ya Uyahudi lina wanazi.
Hii vita mwenye faida ni yule aliyeianzisha mmarekani ndo ana faids na hii vita atauza gesi kwa mataifa yote ambayo mrusi alikuwa anauzaatauza silaha kwa mataifa yote ya nato ambayo yataanzisha vita na urusi. Msitegemee uchumi wa mrusi kushuka wakati mataifa yote ambayo yanategemea hidhaa kutoka urusi yanatumia fesha ya urusi nafikiri uchumi wa mrusi utaimarika zaidi
 
Back
Top Bottom