Upo sahihi MKUU kama watu wanavyopambana dhidi ya dola
Nandio inatakiea iwe hvyo asitokee mpuuzi mmoja kukontrol mamia ama mamilioni ya watu niupuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ulaya haiwezi kusavaivu bila kununua gesi RUSSIA
Nandio maana kuthibitisha hilo mpaka sasa toka jamaa aamze kutoa kichapo mshakaa vikao vingapi EU ila vyooote mmeshindwa kufikia muafaka wakuachana na GAS ya RUSSIA?!?
Nanikwambie muafaka unashindwa kufikiwa sio kwabahatj mbaya nikwamakusudi sababu wanajua bila ya RUSSIA kuwapa GAS hao EU hawatoboi hata weeek
RUSSIA sio ZIMBABWE
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama bei inapanda mnasemaje walijipanga!!?
Anaejipanga hua haathiriki namatokeo hasi yajambo fulani maana hua kaishajiandaa
Wanachofanya nikuwaumiza RAIA wao bila sababu zakimsingi nawakati huo huo hawatakaa waingie NATO
Mizungu sikuwahi kufahamu kama akili zao hazina akili kiasi hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la gas kwa ulaya bado halina mbada na sio leo wala kesho watapata mbadala wa gas ya Urusi. Usiwaamini sana Wazungu eti huwa hawaingii cha kike. Finland na Sweden wameingia cha kike kwa mihemuko tuu bado wanahitaji sana Umeme wa Mrusi na gesi yake.
Ndio maana nimekuambia mnatanguliza sana ushabiki badala ya uharisia.
Haya niambie kwann Marekani anaendelea kununua mafuta ya Urusi kwa mlango wa nyuma wakati ameyapiga marufuku?
Kwanza kuhusu Poland ni Ujerumani yenyewe ilitangaza kuwa ita isambazia gesi Poland baada ya Urusi kusitisha usambazaji sasa sijui tukusikilize ww au viongozi wa Ujerumani.
Kuhusu Uchumi Urusi ni moja wapo ya taifa lenye nguvu za kiuchumi barani ulaya na ni taifa la 5 kwa Uchumi mkubwa barani ulaya kati ya nchi zaidi ya therathini na kitu.
Alafu kila taifa duniani lina Umuhimu katika nafasi yake na kutokana na ilicho nacho.
Mfano kwenye sekta ya viwanda nchi kama Japan, China, Marekani,na Ujerumani ni mataifa muhimu sana.
Kwenye sekta ya nishati mataifa kama Urusi, Qtaar, Saudia,UAE,Iran na Venezuela ni mataifa muhimu sana.
Kwenye sekta ya kilimo na usambazaji wa chakula duniani mataifa kama Urusi, Ukraine,India, Thailand na Pakistan ni mataifa muhimu sana.
Kila taifa lina Umuhimu wake.
Ulaya kamwe haotakuja kuacha kutumia nishati ya Urusi ni kuomba mungu atupe uhai tu,watajifanya wamepiga marufuku lakini wanaenda kuinunua kwa mlango wa nyuma.
Hata kwenye suala la Rubo kwenye vyombo vyao vya habari wanakataa lakini nyuma ya pazia wameruhusu makampuni yao kununua kwa Rubo.
Finland walishasema week iliyopita kwamba Russia wakate gesi na mafuta maana wanajitosheleza,gesi na mafuta wanayochukua toka Russia ni 10% tu
Wameanzia 132 mzee now wako half way around 58 against usd
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
Ruble huchezea kwenye 80 mara zote, hapo ndio peg yake ilipo. Ilifika 132 kama response ya sanctions ambapo speculators waliona athari za sanctions zitayumbisha uchumi.Wameanzia 132 mzee now wako half way around 58 against usd
Finland kwasass ni kipolo cha pilau. Ngoja tumalize mazoezi tunayofanya Ukraine. Finland imeingizwa chaka na USA kama ilivyoingizwa UkraineKwa hiyo Putin ataivamia na Finland ?
Finland kwasass ni kipolo cha pilau. Ngoja tumalize mazoezi tunayofanya Ukraine. Finland imeingizwa chaka na USA kama ilivyoingizwa UkraineKwa hiyo Putin ataivamia na Finland ?
Sasa bro mbona unajichanganya? Nyerere kumpiga amini ni sawa na anachofanya mrusi kwa Ukraine. Mrusi anatetea territory integrity, hawezi ruhusu adui yake asogee mlangoni kwake, hawa superpowers wanaishi kimkakati sio kindezindezi Kama Sisi huku waafrica.,
Ningekuelewa kipindi kile Iraq, Syria, Libya n.k. zinavamiwa ungeanzisha uzi wa kupinga. Lkn sasa acha nao wenye kupiga wengine na kufanya organs Smuggling waonje tamu ya jiwe.
Sawa wacha tuone mkuu maana katika hii dunia ni Dhahabu, Mafuta na Gas ndio yana determine uchumi utasimama vipi!Ruble huchezea kwenye 80 mara zote, hapo ndio peg yake ilipo. Ilifika 132 kama response ya sanctions ambapo speculators waliona athari za sanctions zitayumbisha uchumi.
Hata hapo ilipo kwenye 50 na kitu bado sio nafasi yake ya kudumu, fluctuations zitaihamisha. Stable currency haiwezi panda au kushuka ghafla
Watu wote tumeganyika - ama tuko upande wa Shetani ama wa Mungu. Hakuna neutral. Unajua upande uliopo kwa akili yako hiyo.
Kwa hiyo wewe ndo mwenye hakimiliki ya kulaani siyo?Mwambie mamako aache upimbi. Upimbi ni huo unaoonyesha. Nani anasapoti nchi ulizotaja kuvamiwa? Una akili wewe? Unaleta ushabiki wa Yanga na Simba kwenye maisha ya watu. Ushetani huo. Anzisha uzi wa Libya kuvamiwa, nitakuja huko kulaani yeyote mwenye kuvaimia Libya kama ninavyolaani mvamizi wa Ukraine. Kwa akili yako ndogo hiyo, unadhani nchi moja ikivamiwa basi inahalalisha nchi nyingine pia kuvamiwa?
Kwani Putin hana BP. Si afe tu kama risasi inashindikana.
Low thinking.Wew kemea hiyo nchi iliyozivamia hizo nchi ulizotaja na sio uhalalishe uvamizi wa Russia huko Ukraine kwa makosa ya wengine. Eti " kwa nini umemuuwa huyu kijana"? Unajibu "nimemuuwa sababu amemgonga mwanangu na pkpk akamuuwa" UTAFUNGWA MKUU