Firauni wa Misri alidakwa muda kama huu alipotamka yale anayotamka na kutenda Netanyahu wa Israel

Firauni wa Misri alidakwa muda kama huu alipotamka yale anayotamka na kutenda Netanyahu wa Israel

May Allah(the almighty) rise the darja of all our oppressed brothers and sisters worldwide, his words are unfold and became clear day by day subhanallah.
 

Attachments

  • RDT_20240930_125034176836857037892309.png
    RDT_20240930_125034176836857037892309.png
    850.3 KB · Views: 3
Yahudi kufanya kibri na ufisadi juu ya ardhi ni kawaida yake na dawa yake ni waislam muda ukifika ataadabishwa inavyostahili na wanajua hilo.

Nyie baadhi ya wakristo msiojielewa (wale wasiojua utofauti ya ukristo na uyahudi) tafuteni maarifa sio kubwabwaja humu mkiongozwa na mihemko pamoja na chuki dhidi ya uislam
Nyie mnatumika tu na yahudi na yahudi anawadharau kupita maelezo.
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Mbona ulichokiandika hakieleweki? Kinachokuuma ni watu kuuawa mbona libya na somalia mnauana wenyewe kwa wenyewe? Vipi mbona shia na sunni hamuelewani mpaka mnabaguana nalo likoje? Kutwa humu munadai kuwa Israel kuna waislamu wengi vipi mbona hawauawi ? Hivi hao unaowaita viongozi wa kiislamu hauoni wanauawa kwenye uwanja wa vita mpumbavu wewe
 
Wakristo hasa hawa wa bongo wanapenda sana kubwabwaja hawana maarifa kabisa
Ni sheria ya imani ya kiyahudi waislam na mayahudi wanaabudu MUNGU mmoja ila ni tofauti na wakristo
wakristo wanajulikana kama waabudu sanamu
Ni sheria ya imani ya kiyahudi kwa yahudi kuingia msikitini kufanya ibada inapobidi ila ni marufuku kuingia kanisani wanaita ni nyumba ya waabudu sanamu
Nyie wakristo wa jamii forums nyie na mayahudi ni tofauti kabisa acheni kujipendekeza mnatia aibu
Wewe ni muongo mkubwa sana
 
Yaani unategemea wewe uwaue tu wenyewe wakuangalie na wakati unajua kabisa kutoka mpaka kwenye iko kitabu chako cha Allah kwamba jamaa ni eneo lao la urithi toka dunia imeumbwa .........sasa wewe kwa ngebe na upopoma wako unakuja kuona wanaonewa kweli?? Wale watanzania waliokufa walikuwa na kosa gani kwa waarabu maana kwanza ni weusi sana na wala hawafanani na wale wayahudi tena wamewakuta na baiskeli na jamaa kavaa ndala hata jiwe hakuokota kuwarushia lakini walimrudi vibaya na visu wakamchoma bila hatia ........... halikuwa hana kosa maana hata ugomvi wao haujui kabisa...........kwa hili wacha wafe tu hakuna dini hapo ........maana hata dini zote zimekataza kuua bila hatia ..........tena Netanyahu maliza mpaka mazazi yao ...........wapigwe tu yaani wauliwe mpaka watulie maana hiyo Lebanon ni taifa la wakristo sasa nyie kujipereka kwa kisa udini wacha mfe tu............harafu Lebanon ni wakristo wengi sana sasa nyie dini nyingine mnapata wapi kimuhe muhe cha kusikia uchungu kama kabakwa mama au dada yako????
 
Wewe ni muongo mkubwa sana
Mkuu fanya utafiti usipelekwe pelekwe na kukaririshwa vitu kama kasuku.

Be open minded

Masuala ya sheria za wayahudi na waislam kuendana na kua mbali kabisa na ukristo ni suala rahisi na linajulikana ni suala geni kwa mbumbumbu kama wewe.
 
Mkuu mbona unanilalamikia mimi maelezo yangu ni kwa mujibu wa sheria za imani ya kiyahudi sio maneno yangu

Fanya utafiti

Kuja na lugha mbaya na mashambulizi ya imani ya kiislam haibadilishi ukweli kwamba mayahudi wanawaona nyie wakristo ni waabudu sanamu

Na ni marufuku kwa yahudi kuingia kanisani kufanya ibada ila msikitini ruhsa pale inapobidi wanakula chakula kilichoandaliwa na waislam ila cha wakristo wanaita najis hiyo ni kwa kua wanaamini wao na waislam wanaamini MUNGU mmoja.
Mkuu; angalia au soma na hii:
1. Ukristo umetokea Middle East
2. Uislam umetokea Middle East
3. Ukristo na Uislam chimbuko ni Imani ya Ibrahim/Abraham.
Ibrahim/Abraham ametjwa katika Biblia takatifu na Qur'an tukufu.
4. Ibrahim/Abraham alikuwa na wake wawili: Mke wa kwanza (mke mkubwa) na ndiye mke wa ndoa aliitwa Sarah na Mke wa pili (mke mdogo) ambaye hakuwa mke wa ndoa aliitwa Hajiri/Hagari. Huyu Hagari alikuwa ni Binti wa kazi za nyumbani i.e. mtumishi wa Sarah. Note: Ibrahim/Abrahamu alishawishiwa na kupewa kibali na Sarah ili amtwae Hagari i.e. amgeuze Hagari binti wa kazi nyumbani kuwa mchepuko wake ili azae naye. Lengo lilikuwa ni ili Ibrahimu apate mtoto kwani Sarah ilionekana hana uzao (alikuwa mgumba/tasa).
5. Hajir/Hagari mchepuko wa Ibrahim, alipata mimba na Alimzaa Ishamael. Kwa hiyo Ishamaeli ni mtoto wa kwanza wa kiume wa Ibrahimu.
6. Baada ya muda mrefu kupita .. Sarah nay alifanikiwa na alimzaa Isack/Isaka.
7. Ishamel na Isack ni Mtu na ndugu yake -Baba mmoja.- mama mbalimbali. Ishamaeli ni kaka wa Isack na waliishi pamoja na kucheza pamoja kama ilivyo ndugu katika Familia moja. Bifu lingine lilianzishwa tena na Sara mke wa ndoa wa Ibrahimu kwa kumshinikiza sana mzee Ibrahimu amfukukuze Ishmael kwani alihofia kwa Upendo wa Ibrahim kwa wanawe; huenda Ishmaeli naye atapewa urithi kwa mujibu wa desturi za kiyahudi wakati huo. Sara alikuwa na WIVU mkubwa sana.
8. Ishmaeli alifukuzwa (huyu ndiye chimbuko la Waislam); Isack aliendelea kubaki nyumbani (huyu ndiye chimbuko la Wakristo).
HITIMISHO: Waislam na Wakristo ni NDUGU tena ni NDUGU wa DAMU . Wote ni watoto halali wa mzee Ibrahimu (Almaarufu kama baba wa Imani). Ni ujinga(Kutokujua kwa kiwango cha juu) sana kwa Wakristo kugombana na Waislam kwa visa eti vya Udini.
Ndo mana wanaolijua hili huwa wanajisemea: "Ndugu wakigombana, chukua jembe ukalime; wakipatana chukua kapu ukavune". e.g. Ifuatilie Saudia na mataifa mengine, hayajiingizi katika mgogora wa Israeli na vile vikundi vinavyodaiwa ni vya kugaidi.
NB: HAKUNA mahali POPOTE kwenye Biblia Takatifu (cjui labda kwenye Qur'ani tukufu) panapozungumzia au walau hata kutaja tuu au kudokeza kama kuliwahi kuwa na ugomvi baina ya Ishmaeli na Isack/Isaka, bali biblia inadokeza walikuwa wanacheza pamoja They were Brothers, they loved each other more than just being friends.
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Historia ya kwenye kitabu chenu
 
Mkuu; angalia au soma na hii:
1. Ukristo umetokea Middle East
2. Uislam umetokea Middle East
3. Ukristo na Uislam chimbuko ni Imani ya Ibrahim/Abraham.
Ibrahim/Abraham ametjwa katika Biblia takatifu na Qur'an tukufu.
4. Ibrahim/Abraham alikuwa na wake wawili: Mke wa kwanza (mke mkubwa) na ndiye mke wa ndoa aliitwa Sarah na Mke wa pili (mke mdogo) ambaye hakuwa mke wa ndoa aliitwa Hajiri/Hagari. Huyu Hagari alikuwa ni Binti wa kazi za nyumbani i.e. mtumishi wa Sarah. Note: Ibrahim/Abrahamu alishawishiwa na kupewa kibali na Sarah ili amtwae Hagari i.e. amgeuze Hagari binti wa kazi nyumbani kuwa mchepuko wake ili azae naye. Lengo lilikuwa ni ili Ibrahimu apate mtoto kwani Sarah ilionekana hana uzao (alikuwa mgumba/tasa).
5. Hajir/Hagari mchepuko wa Ibrahim, alipata mimba na Alimzaa Ishamael. Kwa hiyo Ishamaeli ni mtoto wa kwanza wa kiume wa Ibrahimu.
6. Baada ya muda mrefu kupita .. Sarah nay alifanikiwa na alimzaa Isack/Isaka.
7. Ishamel na Isack ni Mtu na ndugu yake -Baba mmoja.- mama mbalimbali. Ishamaeli ni kaka wa Isack na waliishi pamoja na kucheza pamoja kama ilivyo ndugu katika Familia moja. Bifu lingine lilianzishwa tena na Sara mke wa ndoa wa Ibrahimu kwa kumshinikiza sana mzee Ibrahimu amfukukuze Ishmael kwani alihofia kwa Upendo wa Ibrahim kwa wanawe; huenda Ishmaeli naye atapewa urithi kwa mujibu wa desturi za kiyahudi wakati huo. Sara alikuwa na WIVU mkubwa sana.
8. Ishmaeli alifukuzwa (huyu ndiye chimbuko la Waislam); Isack aliendelea kubaki nyumbani (huyu ndiye chimbuko la Wakristo).
HITIMISHO: Waislam na Wakristo ni NDUGU tena ni NDUGU wa DAMU . Wote ni watoto halali wa mzee Ibrahimu (Almaarufu kama baba wa Imani). Ni ujinga(Kutokujua kwa kiwango cha juu) sana kwa Wakristo kugombana na Waislam kwa visa eti vya Udini.
Ndo mana wanaolijua hili huwa wanajisemea: "Ndugu wakigombana, chukua jembe ukalime; wakipatana chukua kapu ukavune". e.g. Ifuatilie Saudia na mataifa mengine, hayajiingizi katika mgogora wa Israeli na vile vikundi vinavyodaiwa ni vya kugaidi.
NB: HAKUNA mahali POPOTE kwenye Biblia Takatifu (cjui labda kwenye Qur'ani tukufu) panapozungumzia au walau hata kutaja tuu au kudokeza kama kuliwahi kuwa na ugomvi baina ya Ishmaeli na Isack/Isaka, bali biblia inadokeza walikuwa wanacheza pamoja They were Brothers, they loved each other more than just being friends.
Hajr hakuwa mchepuko wa Ibrahim

Kuliko baki umezungumza vizuri kiasi ila
Hata wewe huwa unashuhudia kwamba nyie wakristo hapa jukwaani mmezidisha chuki dhidi ya uislam na waislam hamna hoja nyie ni matusi na kebehi tu
Ujumbe mzuri umetoa ila umeuelekeza mahala si sahihi mkuu
 
Yahudi kufanya kibri na ufisadi juu ya ardhi ni kawaida yake na dawa yake ni waislam muda ukifika ataadabishwa inavyostahili na wanajua hilo.

Nyie baadhi ya wakristo msiojielewa (wale wasiojua utofauti ya ukristo na uyahudi) tafuteni maarifa sio kubwabwaja humu mkiongozwa na mihemko pamoja na chuki dhidi ya uislam
Nyie mnatumika tu na yahudi na yahudi anawadharau kupita maelezo.
Nanukuu:
"Nyie baadhi ya wakristo........wale wasiojua utofauti ya ukristo na uyahudi,
tafuteni maarifa sio kubwabwaja humu mkiongozwa na mihemko pamoja na chuki dhidi ya uislam
Nyie mnatumika tu na yahudi na yahudi anawadharau kupita maelezo".

Mkuu; hii habari ya Wakristo kuwa na chuki dhidi ya Uislam inapatikana maelezo yake wapi au ni maoni yako binafsi? Kama ni maoni /mtizamo wako binafsi basi hilo ndo mhemko wenyewe.
Siye Wakristo na Waislam huku tunapendana na hadi tunaoana,tunazikana na tunasherehekea kwa pamoja sikukuu za Waislamu na za Wakristo. Tena cku hizi hata zile za kijadi tunashirikiana.
Hizo tafauti kati ya Ukristo na Uyahudi tutaziangalia baadaye.
 
Hajr hakuwa mchepuko wa Ibrahim

Kuliko baki umezungumza vizuri kiasi ila
Hata wewe huwa unashuhudia kwamba nyie wakristo hapa jukwaani mmezidisha chuki dhidi ya uislam na waislam hamna hoja nyie ni matusi na kebehi tu
Ujumbe mzuri umetoa ila umeuelekeza mahala si sahihi mkuu
OK; Hao watoao matusi wanapatikan pande zote Wakristo na Waislam.
Cha msingi ni kukubaliana na matokeo tu kwamba kwenye msafara wa mamba na kenge wapo.
Unachambua humo yale yenye mantiki na kudiscard yale matakataka mengine.
Pole sana.
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Yaani niache kusoma Biblia ambayo imeielezea kiundani kuhusu farao halafu nije nisome kitabu kingine kilichokuja zaidi ya miaka 1000 baadae nitakuwa sipo sawa kiakili kwa kweli

Maana ni copy and paste na kuongezea chumvi nyingi juu
 
Kwahiyo saiz baada ya kuzidiwa upande wa makombora na mizinga na akili mumehamia kwa miungu

Na huko mtapigwa tu tena maana huku kuna JEHOVAH SHALOM kwenu kuna Allah ngoja tuone lakin mimi naamin Ebenezer hajawah shindwa vitan

God bless Israel. Amen
 
Mkuu fanya utafiti usipelekwe pelekwe na kukaririshwa vitu kama kasuku.

Be open minded

Masuala ya sheria za wayahudi na waislam kuendana na kua mbali kabisa na ukristo ni suala rahisi na linajulikana ni suala geni kwa mbumbumbu kama wewe.
Sheria kama zipi zinaendana? Usipende kutukana watu usiowajua usikute mama yako mzazi nishamla
 
Safi sana gombaneni ,tukaneni toleaneni kashfa uzi mwingine mje mthibitibishe uwepo wa huyo Mungu wenu mkishapatana .
 
Historia ya Firauni imeandikwa kwenye Qur'an kwa ufasaha ikitajwa ni kwa ajili ya ukumbusho kwa wanadamu kwanza wajue kuna muumba wa Ulimwengu na wasiwe wanajisemea tu ovyo kwa kutumia midomo yao.

Siku alipodakwa Allah sw akaweka wazi amefanya hivyo baada ya kumpa muda mrefu ajitafakari na akashindwa kufanya hivyo.Akasema nimemkamata kwa yale aliyokuwa akisema huko nyuma na haya mapya ya leo.Angalia kisa chake kwenye sutat Naaziyat.Qur 79.

Benjamin Netanyahu naye katika zama zetu na miaka hii michache amekuwa akitamka maneno mengi sana ya kibri.Maneno yake yamesababisha watu wengi kuanza kumdhihaki Mungu 9Allah) wakiwemo wana Jf.

Wako wanaJF ambao wamekuwa wakihoji sana uwezo wa Allah na wanauliza yuko wapi mbona wapalestina wanauliwa tu.Wengine wanasema kuna Allah na yuko Mungu mwengine wa mayahudi ambaye tangu enzi za nyuma huwa anawalinda na kuwapa nguvu watu hao dhidi ya maadui zao wote ndio maana hawashindwi.

Baada ya kuonekana kama Israel chini ya Netanyahu inaua kwa kasi inayotaka viongozi wa makundi ya kiislamu wako watu wameanza kutumbukia kwenye shirki kubwa zaidi na kujihakikishia ushindi wakitaja matukio ya nyuma na kutabiri hali itakuwa ndio hivyo daima kwa Israel.

Mwenyewe Benjamini Netanyahu amepanuka kichwa sana na kuanza kutamba hata mbele ya viongozi wenzake huko UN.Anasema hakuna sehemu ambapo mkono wao hauwezi kufika kuwatia adabu wanaofikiria kupigana nao .Waziri wa ulinzi alisema Shambulio la Yeme lilikusudiwa liwatie hofu wapinzani wao wote wa mashariki ya kati.

Pale UN Netanyahu alisema amekwenda kuweka sawa tu mambo yale yanayosemwa ovyo ovyo na viongozi waliomtangulia juu ya kwamba hakukusudia kwenda mwaka huu.Kwa ufupi maneno yake yote ni ya kutamba na kujitukuza kuliko ubinadamu wake,

Habari kwamba amejeruhiwa akitokea UN kutokana na kombora la Houth kwa ambao wameshazama kwenye shirki ya kuona Israel ina Mungu mwengine mwenye nguvu kuliko Allah,inaonekana ni kama utani na jambo lisilolowezekana.Lakini wajue tu maneno na matendo ya Netanyahu na athari zake kwa walimwengu ni wakati kama huu alipodakwa Firaun ili asiendelee kufanya jeuri zaidi.

Hapo mtaani kwetu wiki iliyopita kulikuwa na jamaa alizoea sana kutamka mambo ya fedheha kwa Mungu aliyemuumba.Alidakwa juu kwa juu kila mmoja akashangaa.
Yaaani Alidakwa dakwaje..
 
Kabla ya kipigo Wapalestina wote na Mashabiki zao huwa ni Mashujaa kweli kweli na Wana uwezo wa kuifuta Israel kutoka kwenye uso wa Dunia kwa dakika chache sana. 😆🤣
 
Allah sio Mungu ila mkuu wa majini mkuu.
Kwa kweli hata Mimi nina mashaka sana na allah anayetaka watu wapigane, wauwane, wanaokufa walipwe mabikira 72 kila mwanaume, sasa huko kwa allah kazi ni moja tu ya ngono? Mbona Mungu wa kwenye Bible amesema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.

Yupi Mungu wa kweli, kati ya anayesema wanaume watapewa na Allah 72 wanawake na pombe, au huyu anayesema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.

Mungu wa waisraeli anajaribu Ibrahim kwamba amchukue mwanae pekee Isaack akamtoe sadaka ktk mlima.

Ilhali ktk kitabu cha allah, story hiyo inasema allah akamjaribu Ibrahim kwamba amchukue mwanae Ismaily na akamtoe sadaka. Tafakari na uchukue hatua.
 
Back
Top Bottom