Fireboy, Rema na Joeboy wameibuka kwenye mziki wa Nigeria na wanatamba sana

Wizkid msanii wake hatambi, mbona hujamtaja
 
Mkuu kwa simu yangu nina nyimbo 1902 my most listened song ni za Fireboy DML.
BY the way Burna boy ajipange saana kwa huyu bro wangu.

Hizi nyimbo ni hatari.
God knows, shade, lifestyle, vibration. lazima nizisikilize kila siku
 
Ngoma ya fireboy shade ina historia kati ya mimi na manzi fylani hivi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…