First date;Naomba ushauri wenu.

Inatakiwa ujiamini

Usionyeshe wasiwasi wala woga mbele yake. Wanawake wengi smart, wanapenda mwanamume anayejiamini.

Yaani hakikisha umkeep charming, mfanye afurahi wakati wote akiwa na wewe hata atakapoondoka, aende akiwaza furaha anayoipata akiwa na wewe.

Jaribu Kutengeneza mazingira wakati unamwaga, umpe kiss la kwenye paji la uso/shavuni au ikiwezekana ukimsoma ukaona hana neno, mkiss short kiss ya mdomoni.

Usizungumzie suala la kumtafuna kabisa kwenye iyo date kesho. Atakukimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mwanamke anakukatalia amiaka 2 huyo hana shida na wewe. Kama utampata maeneo akijipinda tu usimpe nafasi. Baada ya hapo na wewe mringie. Miaka 2 aisee una moyo. Mi ikizidi wiki3 tu basi. Hata uwe mzuri ka malaika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just be yourself and enjoy the time together. Ustaarabu muhimu sana lakini kuchombeza pia muhimu ukiona anakutolea nje usiwe king'ang'anizi.

 
Nashukuru sana hii mbinu nimeikubali knoma lazima apate French kiss

great thinker
 
Kweli mkuu 2 yrs mingi kinoma ndo maana nataka nione nyavu hawezi nifanya zwazwa

great thinker
 
vp brother,
mrejesho
umepata mziogooo ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muwekee condom mezan atajua unajali sana, unapenda usalama wa raia wako na ni mwaminifu. Hicho ndicho wanachopenda mashost. Hapo umemaliza kila kitu bila kutia neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…