Sijamalizia kusoma ujue Ses mana hicho kiparagirafu cha kwanza kimeniacha hoi. Naomba nicheke kwanza kisha nimalizie kusoma ulichoandika. 😂😂😂😂😂Karibu mamii ila ukiwa kama kocha mchezaji hakikisha kama kuna namba inapwaya unaingia wewe mwenyewe kucheza🤪🤪🤪
Na epuka upendeleo kwenye kikosi, usiangalie marafiki, mpenzi, ndugu, jirani au mshikaji. Weka kikosi ca haki kabisa😀😀😀
Ndo manake Shadeeya. Miaka ya 90 pale Lunyasi kulikua na kocha mchezaji Hasan Hafif. Anasoma mchezo wee kisha anafanya sub anajiingiza uwanjani dk 15 za mwisho. Basi asipofunga yeye lazima atatoa assist kali sana kina Zamoyoni Mogella wanamaliza, uwe kama yeye🤪🤪🤪Sijamalizia kusoma ujue Ses mana hicho kiparagirafu cha kwanza kimeniacha hoi. Naomba nicheke kwanza kisha nimalizie kusoma ulichoandika. 😂😂😂😂😂
😀😀😀 ngoja nilifikirie hili wazo lako mdogo wangu. 🤔🤔🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toa ajira bana kwenye hicho kibanda upate kupumzika..
[emoji69][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] ngoja nilifikirie hili wazo lako mdogo wangu. [emoji848][emoji848][emoji848]
Mmekuelewa sana. De la Boss. 💃💃💃Karibu mamii ila ukiwa kama kocha mchezaji hakikisha kama kuna namba inapwaya unaingia wewe mwenyewe kucheza🤪🤪🤪
Na epuka upendeleo kwenye kikosi, usiangalie marafiki, mpenzi, ndugu, jirani au mshikaji. Weka kikosi cha haki kabisa😀😀😀
Sawa sawa Ses naona umeongezea nyama eti. 😜Ndo manake Shadeeya. Miaka ya 90 pale Lunyasi kulikua na kocha mchezaji Hasan Hafif. Anasoma mchezo wee kisha anafanya sub anajiingiza uwanjani dk 15 za mwisho. Basi asipofunga yeye lazima atatoa assist kali sana kina Zamoyoni Mogella wanamaza, uwe kama yeye🤪🤪🤪
Siku zote hua wanielewa wee mtoto, uendelee ivoivoo eeeh🤪🤪🤪Mmekuelewa sana. De la Boss. 💃💃💃
Mfupa shurti uwe na nyama kidogo ndo wanogaSawa sawa Ses naona umeongezea nyama eti. 😜
Uendelee sasa kutuletea mambo Numbisa, you ere missed kwakweli
Karibu sana, we are waitingNgoja nijipange ili new year inikute mpya mpya
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Jamani ahsante mate... I love you
Kaka wa Green upo?[emoji69][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah naipenda tu hiyo scene toka movie ya Creed. So ispirational...Mkuu, pole kwa maumivu...
Maana hapo kwenye avatar nakutazama tofauti kidogo, yaani kama kuna kitu kina kuchoma....View attachment 1250374
Umenikumbusha mbali sana rafiki. LolBora siku hizi makundi yamepungua,zamani ilikua balaa ukianzisha uzi kanakuja kapuuzi kamoja eti bora huu uzi ungeanzishwa na fulani
Ndio nimestuka hapa imebidi niedit. Naamini kati ya likes 5000 nilizonazo basi 500 nimezipata kwako.Jamani ahsante japo umekosea jina langu ila najua ulikusudia kunitaja mimi. Au kuna mwingine tunafanana I'd isijekuwa najimwambafai tu hapa[emoji41]