Jukwaa langu pendwa,huwa naona inputs zako,Mimi siyo mchangiaji ila nipo active sana kuchungulia,numepumzika baada ya kupogwa 1m+ ndani ya wiki mbili zilizopitaNimefarijika sana mkuu umetambua uwepo wangu katika kuweka mzigo!!!
Umemsahau snitch wa uzi Sungusunguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jukwaa langu pendwa,huwa naona inputs zako,Mimi siyo mchangiaji ila nipo active sana kuchungulia,numepumzika baada ya kupogwa 1m+ ndani ya wiki mbili zilizopita
Mda mrefu, Kumbe hulijui hiloDemiss amekuwa admin tokea lini??
Mh mjumbe, ebu zingatia hitifaki tafadhaliMh mjumbe sikuelewi aisee...
Ina maana sisi tupo Duniani ila yeye hayupo duniani?
Yule wa mademu na ngono muda wote na kuomba ushauri4G lite na stori zake za upelelezi.
Mshana.
Tony-stark
kweli kabisa lkn kuna member wengi tu wapo hewani wanachungulia km mimi yaani hatupitwi
unajua wakongwe huwa wanachunguzlia na kusawazisha mfano No 1 nampa Max bila yeye humu tungeshafunga JF au tunacheza na Nyavu Magerezani
Kashinda Tuzao ya Kimataifa hata Ikkulu hawajamuita, Bungeni au sisi Member tupotupo tu nyuma ya Keybody
Hongera sana mkuu ila haujaweka ubora wao unatokana na nini au kuchangia mada sana?Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana..
1. Mshana Jr
2. Chige
3. OKW BOBAN SUNZU
4. Salary Slip
5. Khantwe
6. Shadeeya
7. Baba swalahe
8. FORTALEZA
9. joanah
10. Smart 911 (cc mahondaw)
11. manengelo
=====UPDATES======
Kwakua teams haichezi bila wachezaji wa akiba tuongeze hapa..
SUBS :
Mzigua90, Ghazwat, CHIEF-MKWAWA, extrovet, Sky Eclat, Bujibuji, wa stendi, Mwifwa
binti kiziwi
Unaweza panga kikosi chako pia.
UZI TAYARI.
Hujamuona dada yangu mpendwa ShunieTukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana..
1. Mshana Jr
2. Chige
3. OKW BOBAN SUNZU
4. Salary Slip
5. Khantwe
6. Shadeeya
7. Baba swalahe
8. FORTALEZA
9. joanah
10. Smart 911 (cc mahondaw)
11. manengelo
=====UPDATES======
Kwakua teams haichezi bila wachezaji wa akiba tuongeze hapa..
SUBS :
Mzigua90, Ghazwat, CHIEF-MKWAWA, extrovet, Sky Eclat, Bujibuji, wa stendi, Mwifwa
binti kiziwi
Unaweza panga kikosi chako pia.
UZI TAYARI.
Nami nimekuja kutoa shukurani zangu ingawaje kumbe thread yenyewe ni ya tangu juzi lakini nilishindwa kuiona!!Kwa niaba ya ndugu yangu Chige nasema ahsante sana.
kwenye reserve upo MkuuKwa kujimwambafai kote huku, sijatajwa...
Kumbe kujimwambafai sio dili.