First eleven yangu ya members wa JF 2019

First eleven yangu ya members wa JF 2019

Hahahaa i understand. Siku hizi sina kazi mpya. Nimejifungia tu kule Likes mpaka nasahaulika majukwaa mengine
Ni kweli Shadeeya JF ina mambo mengi mengine yanakera na mengine mengi mazuri sana. Yaani yanaburudisha, yanaelimisha na yanatupasha habari mbalimbali zile serious na za udaku pia

Ila umesahau kitu kimoja, nakujua wewe ni shabiki mkubwa wa Numbisa na kazi zake lakini hukumuwekamo hapo kwa list yako, hebu tambua uwepo wake basi mamii🤪🤪🤪
 
Ni kweli Shadeeya JF ina mambo mengi mengine yanakera na mengine mengi mazuri sana. Yaani yanaburudisha, yanaelimisha na yanatupasha habari mbalimbali zile serious na za udaku pia

Ila umesahau kitu kimoja, nakujua wewe ni shabiki mkubwa wa Numbisa na kazi zake lakini hukumuwekamo hapo kwa list yako, hebu tambua uwepo wake basi mamii🤪🤪🤪
Nilikuwa namalizia jambo hapa kisha nije nimalizie First eleven yangu ujue.

Nautambua uwezo wake hasa kwenye ule uzi wa Njoo tucheke pamoja yaani nao waeza bakia kucheka tu mana kila picha anayoituma ni ya kuchekesha hasaa.

Awesome rafiki Numbisa.
 
U
Nilikuwa namalizia jambo hapa kisha nije nimalizie First eleven yangu ujue.

Nautambua uwezo wake hasa kwenye ule uzi wa Njoo tucheke pamoja yaani nao waeza bakia kucheka tu mana kila picha anayoituma ni ya kuchekesha hasaa.

Awesome rafiki Numbisa.
Meona eeh Shadeeya, bilashaka ushamaliza kufanya hilo lililokua linakukabili, twasubiri first eleven yako sasa
 
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana..

1. Mshana Jr
2. Chige
3. okwi boban sunzu
4. Salary Slip
5. @khatwe
6. Shadeeya
7. Baba swalahe
8. FORTALEZA
9. joanah
10. Smart 911 (cc mahondaw)
11. manengelo

=====UPDATES======

Kwakua teams haichezi bila wachezaji wa akiba tuongeze hapa..

SUBS :

Mzigua90, Ghazwat, CHIEF-MKWAWA, @Extrovent, Sky Eclat, Bujibuji, wa stendi, Mwifwa..

Unaweza panga kikosi chako pia.



UZI TAYARI.
Asante sana mkuu barikiwa[emoji113]
 
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana..

1. Mshana Jr
2. Chige
3. okwi boban sunzu
4. Salary Slip
5. @khatwe
6. Shadeeya
7. Baba swalahe
8. FORTALEZA
9. joanah
10. Smart 911 (cc mahondaw)
11. manengelo

=====UPDATES======

Kwakua teams haichezi bila wachezaji wa akiba tuongeze hapa..

SUBS :

Mzigua90, Ghazwat, CHIEF-MKWAWA, @Extrovent, Sky Eclat, Bujibuji, wa stendi, Mwifwa..

Unaweza panga kikosi chako pia.



UZI TAYARI.
🙏🙏🙏🙏
 
Yah!! Nshamaliza tayari.

Ooh. Kumbe wasubiria eee? Sawa naja nayo soon.
Karibu mamii ila ukiwa kama kocha mchezaji hakikisha kama kuna namba inapwaya unaingia wewe mwenyewe kucheza🤪🤪🤪

Na epuka upendeleo kwenye kikosi, usiangalie marafiki, mpenzi, ndugu, jirani au mshikaji. Weka kikosi cha haki kabisa😀😀😀
 
Back
Top Bottom