Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi hizi pia vitapata heshima.Vyuo enzi hizo banah
Dah tangu kipindi kile naandika thread hii washadisco 220 CIVE
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji27] [emoji27] kumbe si lelemamaDah tangu kipindi kile naandika thread hii washadisco 220 CIVE
Aiseee..kwahiyo kila mwaka kuna watu wanaondoka.?Yah si kitoto ,na huenda idadi ikaongezeka baada ya sup kuisha hapo sept 29
Tayarii aseeBado ila leo hii mkuu
Cive yetu ni shida...nimepoteza wana room watatu oteeCIVE UDOM washasepa wengi sana
Mkuu CIVE tunapaelewa tunaosoma hapo bhana,hawa wageni tunawakaribisha kiroho safi..Waje wakutane na Prof Msele na mtata wa LG ambaye anaipeperusha bendera yake ipasavyo..Mimi nimepoteza marafiki wa karibu 9 akiwemo wa kike wawiliCive yetu ni shida...nimepoteza wana room watatu otee