Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekusikia mkuuKwa watu wa TIBA karibun sana pale kati...
Kwa watu wa cadaver ..zipo tayar cadaver room toka mwez wa sita zinawasubiri nyie tuu ..mtakutana na dr. Mchonde pale kwenye anatomy pamoja na prof.gesase kwenye neuroanatomy
Wakrbisheee vzrrMkuu CIVE tunapaelewa tunaosoma hapo bhana,hawa wageni tunawakaribisha kiroho safi..Waje wakutane na Prof Msele na mtata wa LG ambaye anaipeperusha bendera yake ipasavyo..Mimi nimepoteza marafiki wa karibu 9 akiwemo wa kike wawili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakrbisheee vzrr
Acheni kuleta mambo ya sekondari chuoni basi na watakao disco waanzishe thread waseme tuliodisco tukutane hapa. hapo kila mtu ataenda mwenyewe na kila mtu ataondoka mwenyewe. mbona wanao disco wanaondoka kimya kimya. ila wakati wa kuingia ndio mnaleta mbwembwe. 😀😀😀😀😀😀😀😀mimi nitakuwepo mjengoni pale college ya informatics kupiga "bachelor of science in telecommunication engineering".
karibuni tufahamiane wakuu.
UmeuaAcheni kuleta mambo ya sekondari chuoni basi na watakao disco waanzishe thread waseme tuliodisco tukutane hapa. hapo kila mtu ataenda mwenyewe na kila mtu ataondoka mwenyewe. mbona wanao disco wanaondoka kimya kimya. ila wakati wa kuingia ndio mnaleta mbwembwe. 😀😀😀😀😀😀😀😀
Heymimi nitakuwepo mjengoni pale college ya informatics kupiga "bachelor of science in telecommunication engineering".
karibuni tufahamiane wakuu.
Mkuu ulisoma UDOMU ama vipi.Ok IFM ALUMNI MKO WAPI ?
Hapana bruh IFM MAIN CAMPUS, DSM. 😂Mkuu ulisoma UDOMU ama vipi.
Hapo sawaHapana bruh IFM MAIN CAMPUS, DSM. 😂
Ndiyo mkuu! Udom hv Haina sub campus?Hapo sawa
Yeah UDOM ina colleges nyingi ambapo zingine ziko mbalimbali.Ndiyo mkuu! Udom hv Haina sub campus?
Ooh kumbe...... Hongereni udom alumnusYeah UDOM ina colleges nyingi ambapo zingine ziko mbalimbali.
Yeah ilikiwa kitambo kidogo.Ooh kumbe...... Hongereni udom alumnus
Aseeh kumbe wewe mkongwe !!Yeah ilikiwa kitambo kidogo.
😂🤣Aseeh kumbe wewe mkongwe !!
Una miaka 30 😂