#Kikoozi
Kama we hukupata Bahati acha kukatisha madogo tamaa acha kabsa haifai hata kidogo,hujui purpose yao kwa Mungu.We kma huna Bahati kaa pembeni.
Hongeren sana wadogo zangu asitokee mtu kukushaul ujinga hyo koz uliyopangiwa ndio ndoto zako zilipo huwez jua keep on touch guys uckate tamaa ila pia dunian kuna watu wameumbwa kuwaombea wenzao mabaya.
Huyu kikooz ni hovyo kabisa, yaani kila koz yeye anaponda tuu, unaweza kuta hata sio Mtz.
Kuna watu hawajitambui kabisa humu Jf.