100 SANDALS CO.
Member
- Apr 3, 2015
- 41
- 5
3rd year INNOCENT 0765 596933
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OYoo.. this z for all kakaz and Dadaz mnao enda kua firsrt yr UDOM 2015/2016, TUpIa namba ako hapa ya whatsaap kuunganishwa direct kwenye group, na piiia wale 2nd n 3rd yr mnakaribishwa sana kwa Group.
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?[/QUOTE.
ndugu hukuomba mkopo kwa nini alafu unasubiria uingie chuo ndio utapewa ?Sijakuelewa hapo !!!
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?
3rd year INNOCENT 0765 596933
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?[/QUOTE.
ndugu hukuomba mkopo kwa nini alafu unasubiria uingie chuo ndio utapewa ?Sijakuelewa hapo !!!
mkuu namaanisha kwa wale special diploma ambao hawakuomba mkopo itakuaje??
mkuu namaanisha kwa wale special diploma ambao hawakuomba mkopo itakuaje??
Sina ufahamu MKUBWA kwa watu wa special diploma ila kwa uzoefu nlionao wao itakuwa wanapata MOJA kwa MOJA ,,,mwaka huu wa masomo uliopita waziri wa udoso aliwapigania sana hadi mkapata mkopo wenu maana chuo kiliwacheleweshea mkopo wao ,mwisho wa vurugu hizo waziri Mwakibinga (from chadema sasa hivi anagombea ubunge huko mbeya kwa taarifa zilizopo,,,,,, TUTAKUKUMBUKA SANA WAZIRI MWAKIBINGA KWA UONGOZI WAKO UDOSO) alifukuzwa chuo kwa kuonekana mchochezi wa vurugu za kudai haki,,,ila kutokana NA jitihada za Mwakibinga sasa hivi pesa zenu mtakuwa mnapata on time,,,,
hv ndgu wale special diploma tuition fee ni cluster namba ngap
Kaka hizo fomu sina ,ila kama unayo jaribu kunitumia kwa njia ya WhatsApp au attach hapa nione ilivyo then nkujibu,,,but mnatakiwa kujua bodi inawalipia kiasi gani cha ada then kinachobaki ndio mjilipie wenyewe,,,,maana unaweza ukaenda kulipa bank ada wakati bodi wamekupa ada asilimia zote ,hivyo unapoteza pesa bure NA kurudishiwa pesa yako NA chuo ni NGUMU sana ,hakirudi kitu
Kaka hizo fomu sina ,ila kama unayo jaribu kunitumia kwa njia ya WhatsApp au attach hapa nione ilivyo then nkujibu,,,but mnatakiwa kujua bodi inawalipia kiasi gani cha ada then kinachobaki ndio mjilipie wenyewe,,,,maana unaweza ukaenda kulipa bank ada wakati bodi wamekupa ada asilimia zote ,hivyo unapoteza pesa bure NA kurudishiwa pesa yako NA chuo ni NGUMU sana ,hakirudi kitu
hlf zile admission no kwny admission letter tunaruhusiwa kutumia ktk ulipaj ada kipengele cha kuweka registration no
mimi nitakuwepo mjengoni pale college ya informatics kupiga "bachelor of science in telecommunication engineering".
karibuni tufahamiane wakuu.
hebu nielekezeni kuhuxu ulipaji wa direct cost na tuition fees kwa xabab nimeshindwa kujua natakiwa kulipia namba ngap!
mwenye kujua anisaidie wakuu
sasa mbona wamesema inatakwa kulipwa kabla hujaripoti chuoni hapo je inakuaje me sielewi naombeni msaada wenu
af kingine izo admssion leter zina wahusu wanafunzi w0te wanaojiunga na chuo hich0 hata wale waliomaliza kidato cha nne waliokosa nafasi ya kujiunga na kidato cha tano wakapangiwa kujiunga na specia diploma in education science and mathematics
msaada wenu
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?
hebu nielekezeni kuhuxu ulipaji wa direct cost na tuition fees kwa xabab nimeshindwa kujua natakiwa kulipia namba ngap!
mwenye kujua anisaidie wakuu