First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?
 
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?[/QUOTE.

ndugu hukuomba mkopo kwa nini alafu unasubiria uingie chuo ndio utapewa ?Sijakuelewa hapo !!!
 
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?

Kwa watakaopewa mkopo yakupasa kufungua akaunti,,, fungua crdb ndio iko fasta kuingiza bumu NA NMB wanacheleweshaga,,,, wakati unasubiri mkopo uwe NA pesa ya matumizi maana mkopo unachelewa kwa wiki 2 au 3,,,
 
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?[/QUOTE.

ndugu hukuomba mkopo kwa nini alafu unasubiria uingie chuo ndio utapewa ?Sijakuelewa hapo !!!

mkuu namaanisha kwa wale special diploma ambao hawakuomba mkopo itakuaje??
 
mkuu namaanisha kwa wale special diploma ambao hawakuomba mkopo itakuaje??

Sina ufahamu MKUBWA kwa watu wa special diploma ila kwa uzoefu nlionao wao itakuwa wanapata MOJA kwa MOJA ,,,mwaka huu wa masomo uliopita waziri wa udoso aliwapigania sana hadi mkapata mkopo wenu maana chuo kiliwacheleweshea mkopo wao ,mwisho wa vurugu hizo waziri Mwakibinga (from chadema sasa hivi anagombea ubunge huko mbeya kwa taarifa zilizopo,,,,,, TUTAKUKUMBUKA SANA WAZIRI MWAKIBINGA KWA UONGOZI WAKO UDOSO) alifukuzwa chuo kwa kuonekana mchochezi wa vurugu za kudai haki,,,ila kutokana NA jitihada za Mwakibinga sasa hivi pesa zenu mtakuwa mnapata on time,,,,
 
hv ndgu wale special diploma tuition fee ni cluster namba ngap

Kaka hizo fomu sina ,ila kama unayo jaribu kunitumia kwa njia ya WhatsApp au attach hapa nione ilivyo then nkujibu,,,but mnatakiwa kujua bodi inawalipia kiasi gani cha ada then kinachobaki ndio mjilipie wenyewe,,,,maana unaweza ukaenda kulipa bank ada wakati bodi wamekupa ada asilimia zote ,hivyo unapoteza pesa bure NA kurudishiwa pesa yako NA chuo ni NGUMU sana ,hakirudi kitu
 
Kaka hizo fomu sina ,ila kama unayo jaribu kunitumia kwa njia ya WhatsApp au attach hapa nione ilivyo then nkujibu,,,but mnatakiwa kujua bodi inawalipia kiasi gani cha ada then kinachobaki ndio mjilipie wenyewe,,,,maana unaweza ukaenda kulipa bank ada wakati bodi wamekupa ada asilimia zote ,hivyo unapoteza pesa bure NA kurudishiwa pesa yako NA chuo ni NGUMU sana ,hakirudi kitu

sawa nimekuelewa
 
Kaka hizo fomu sina ,ila kama unayo jaribu kunitumia kwa njia ya WhatsApp au attach hapa nione ilivyo then nkujibu,,,but mnatakiwa kujua bodi inawalipia kiasi gani cha ada then kinachobaki ndio mjilipie wenyewe,,,,maana unaweza ukaenda kulipa bank ada wakati bodi wamekupa ada asilimia zote ,hivyo unapoteza pesa bure NA kurudishiwa pesa yako NA chuo ni NGUMU sana ,hakirudi kitu

hlf zile admission no kwny admission letter tunaruhusiwa kutumia ktk ulipaj ada kipengele cha kuweka registration no
 
hlf zile admission no kwny admission letter tunaruhusiwa kutumia ktk ulipaj ada kipengele cha kuweka registration no

hebu nielekezeni kuhuxu ulipaji wa direct cost na tuition fees kwa xabab nimeshindwa kujua natakiwa kulipia namba ngap!
mwenye kujua anisaidie wakuu
 
mimi nitakuwepo mjengoni pale college ya informatics kupiga "bachelor of science in telecommunication engineering".

karibuni tufahamiane wakuu.

mimi nitakua udom college of education (special progum udom)
chemist&maths
 
wadau naomba kuulza kwa mwenye hufaamu
1.hv direct cost mchanganuo wake ukoje
2.hv hz direct cost unalpa zote au unalpa kwa semister yaan nusu nusu
3.je hv ukchelewa kurpot chuo unaweza pokelewa na ukafanya legistration
4.et n kwel hakuna mtu wa edc alie kosa mkopo
5.na hh corse ya edcation in art kwenye ktabu cha tcu n non priority vp kwa tuliopata hh corse twaweza pata mkopo WADAU NAOMBA JBU HAPA PREASE
 
hebu nielekezeni kuhuxu ulipaji wa direct cost na tuition fees kwa xabab nimeshindwa kujua natakiwa kulipia namba ngap!
mwenye kujua anisaidie wakuu

Kuna account number kwa kila malipo unayotakiwa kulipa kama mwanafunzi. kama umeshachukua admission letter ipitie vizuri ama kutakuwa na form nyingine inayoonesha masuala ya malipo icheki utakuta kila kitu
 
sasa mbona wamesema inatakwa kulipwa kabla hujaripoti chuoni hapo je inakuaje me sielewi naombeni msaada wenu

af kingine izo admssion leter zina wahusu wanafunzi w0te wanaojiunga na chuo hich0 hata wale waliomaliza kidato cha nne waliokosa nafasi ya kujiunga na kidato cha tano wakapangiwa kujiunga na specia diploma in education science and mathematics

msaada wenu

Kupata test kulog in kama umechaguliwa udom SDE ikikubali pakua admission letter then isome utapata kila kitu
 
wakuu mimi sikuomba mkopo,itachukua siku ngapi kupata huo mkopo? au baada ya kufika chuoni ndo ntapata? au siku ya kuripot ndo tutapewa mkopo?. na vp mkopo utatakiwa kufungua akaunti benk? ni kiasi gan kinachotakiwa tuwenacho kwa ajil ya chakula huku tukisubiri mkopo?

Umesema vyema kuwa hukuomba mkopo lakini hujasema wewe unaenda kuchukua degree ama diploma programm, tafadhali tuambie ili kutuwezesha kutoa majibu ya kukusaidia
 
Ni special diploma in education in science and mathematics je tutaombea huko chuoni
 
Natumai mu-wazima kabisa.
Haya, kama wanavyosema watu kuwa "JASIRI
HAACHI ASILI" kwa hiyo si vibaya tukiendelea
kuangalia vile vitu ambavyo vinapatikana katika
ASILI YETU YA KIAFRIKA na kutokukubali kuwa
WATUMWA kwa sababu tu "MSAHAU/MKATAA
KWAO NI MTUMWA" sasa basi tusiwe
WATUMWA kwa kukataa vya kwetu na
kudumisha MILA ZA WENZETU na ndio maana
wenzetu wamekuwa wakiendelea kwa sababu tu
wamekuwa wakidumisha MILA zao vile
inavyotakikana kuliko kutukuza MILA ZA
WENZAO.
Sasa leo kuna hii dawa ambayo inajulikana
kama MVWAZA au AZMAH, inaweza ikawa
umeshawahi kuiskia labda, au kuambiwa
pengine au hata kuitumia pia, labda inaweza
ikawa inajulikana kwa jina jingine kwenye kabila
lenu yawezekana lakini kwa mimi naifaham
ikijulikana kwa jina la MVWAZA au AZMAH.
Dawa hii inatumika kunako mambo kadha wa
kadha kama nilivyokwisha dokeza kunako
kichwa cha habari hapo juu kuwa, inatumika
kuleta mvuto kwa mtu, kama ulikuwa ni mtu wa
kuchukiwa na watu ama kutokupendwa tu bila
sababu yoyote basi watu wakatokea
kukuchukia, dawa hii kazi yake ni kukuongezea
mvuto kwa kiasi kikubwa mno.
Wataalam wanashauri unapokuwa na dawa hii
inatakiwa kuwa makini sana hasa na jinsia
tofauti kwa sababu unapoinuia basi yenyewe
hufanya kazi kama vile ambavyo umeinuia, hasa
kwenye suala la mvuto kwa mwanamke
utakuwa ni mwenye mvuto mno kwa jinsia ya
kiume na pia kwa mwanaume huamsha sana
hisia za mvuto kwa jinsia ya kike na vinginevyo.
Dawa hii kazi yake nyingine ni kupumbaza mtu
ambaye utamkusudia kwa lengo maalum,
mathalan ; Natumai mtakuwa mmeskia labda
mtu akitafutwa na polisi na utakuta polisi
anakufaham na mkapishana kabisa pasina
shaka yoyote bila ya kukukamata.
Au utakuwa umeskia labda mtu ana kesi
mahakamani, pengine ni kesi kubwa tu ambayo
kwenye mazingira ya kikawaida inakuwa ni
ngumu kuchomoka, lakini kwa dawa hii ni
jambo la ajabu sana ambalo utaweza
kushangaa na utaskia mtu mwenye kesi husika
akishinda kesi au akaachiwa huru kuonekana
kuwa hana hatia au akashinda kesi kwenye
mazingira ya kutatanisha kabisa.
Dawa hii pia inaweza kumpumbaza mtu akiwa
dukani au hata njiani na ukamuamuru mtu
husika afanye jambo fulani labda unaweza kuwa
umeskia kuwa mtu ameuziwa hata kipande cha
chupa akiambiwa kuwa ni ALMASI na asielewe
mpaka pale anapokuwa ameachana na huyo
aliyemuuzia ndipo anapokuja kugundua kuwa
alichouziwa si kitu ambacho alichokuwa
akikitarajia kuwa ndio hicho.
Yani unapoitumia inakuwa kama inampumbaza
au kumfunga mtu husika hata kwenye kuongea,
ni wewe tu ndiye unakuwa ukiskilizwa.
Wengine wamekuwa wakiitumia kuwapumbaza
watu kwa kutumia labda pesa bandia kwa
kumpa mtu wa dukani au pengine hata m-pesa
au tigo pesa then utakuta mtu anakuja
kugundua baadae kabisa kuwa alizopewa ni
pesa bandia, na anaweza akagundua ndio lakini
bila ya kujua ni nani aliyemkabidhi pesa hizo
feki.
Kwa kifupi ina mambo mengi sana na uwezo wa
ajabu kabisa. Hiyo ndiyo MVWAZA au AZMAH
wapo wengi wakiitumia dawa hii na pengine
waweza kuwa umeiskia au kuambiwa mahala,
au labda na jina linaweza kuwa ni tofauti ila
kazi zake zinaweza kuwa ni kama hii kwa
asilimia 100, sasa sjui kwa kwenu mtakuwa
mnaiitaje lakini kwa mimi naifaham ikijulikana
kwa jina la AZMAH.
Dawa hii inawafaa wanafunzi kwa sababu
itawarahisishia maisha ya chuoni mfano huna
hela na ada unadaiwa basi ukisema tu sina
wanakupa muda wa kutafuta. yaani jina lako
litatamba popote hakuna kudisco yaani full
kufaulu.
tumeanza ofa yetu itadumu mwezi mmoja,kwa
mawasiliano zaidi tutafute kwa namba
0718151415
 
Back
Top Bottom