Fishes & Marine life special thread.

Fishes & Marine life special thread.

images (35).jpeg

Sungura bahari
 
Paedocypris: huyu ni samaki mkubwa tu katika jamii yao, wala sio dagaa. Anashikilia rekodi ya samaki mdogo duniani. Kwenye picha hiyo; huyo kakomaa kabisa kuendeleza kizazi chao
215cd1d8b6971c2e92440751b7b76993.png
 
images (37).jpeg

Katika pande mbili za mazingira ya bahari ; Kutisha na kuvutia. Hili ni eneo samaki wengi wasio tishio kwa samaki wengine na kwa binadamu ndio makazi yao. Hapa kauli mbiu yao ni AMANI ITAWALE KWA WOTE
 
images (42).jpeg

Ribbon eel; hawa ni jamii ya wale hatari ingawa hawa sio hatari na wanafugwa kwa baadhi ya watu. Mara nyingi hujifungua mdomo pale waonapo tishio ili aonekane hatari ila kiuhalisia ni tofauti.
 
images (44).jpeg

Sea snail inasemekana ni moja ya samaki wenye utajiri mwingi wa afya kwa mwanadamu.
 
images (48).jpeg

Nguva/mermaid?? Hapana! Wenzetu walimpa jina la Dogong. Huyu ni mnyama kabisa 100% anaishi kwa kula majani yanayojiotea huko chini ya bahari. Wanyama hawa wanapatikana pia katika maji baridi mfano ziwani. Ni kati ya viumbe vilivyo katika hatari kubwa ya kupotea duniani.

Amini ya kwamba dogong ni wana kama kaundugu na wenzao wa nchi kavu, Tembo.
 
Back
Top Bottom