Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaItakua ni utambulisho wa magari yake...huyo atakua Mazda CX 7...nasikia huwa wanageuka usafiri usiku....
encoding and decoding messages akiwa awaySignals kwaajili ya nini?
Hahahahaencoding and decoding messages akiwa away
Basi tuseme itilima hoyeee,mnaupiga mwingi.Ila tu baada msituambie mmempoteza mwanachama wenu.Msimu wa chafuzi huu tena.SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS
View attachment 3244143
Askari wa Mamlaka ya Wanyamapori kwa kushirikiana na TANAPA na Jeshi la Polisi wamefanikiwa kumuua fisi mmoja katika Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, baada ya kuingia katika makazi ya wananchi. Cha kushangaza, fisi huyo alikutwa na maandishi kwenye paja lake la kushoto, yakisomeka MALLA N 7, ingawa maana yake haijafahamika.
Operesheni hiyo maalumu imeanzishwa kufuatia matukio ya fisi kushambulia watoto nyakati za usiku, ambapo baadhi yao wamepoteza maisha. Fisi huyo aliuliwa katika kijiji cha Kimali, Kata ya Nyamalapa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kudhibiti wanyama hao hatari.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima, Anna Gidarya, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwamigagani, Kata ya Mwalushu, amewataka wote wanaomiliki nyara za serikali kinyume cha sheria kuzisalimisha kwa wahusika wa uhifadhi haraka iwezekanavyo ili kuepuka hatua kali za kisheria.
Tangu operesheni hiyo ianze, jumla ya fisi 16 wamekwisha kuuawa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Itilima na kikosi kazi cha askari wa TAWA, TANAPA na Jeshi la Polisi.
Sio wao ila watani wetu wa sii hasa.a.k. mauza uza a.k.a mazingaumbweWasukuma bana
😂😂 Kwahiyo ni kama GPSencoding and decoding messages akiwa away
😂 Haina kipengele mkuu ... Ninazo kama mbili nauzahiyo cruser inatembea raf-road ni balaa
Mkuu kila kiumbe kina moyo, as long as kina moyo unaweza kukiita na kikaja na ukakifanyia fakraa (kuingiza roho nyingine ndani yake ili kuvaa ule mwili wa mnyama) na kuanzia hapo unakitawala!Hahah mimi kinacho nishinda kujua hivi wanawezaje kuwapata wanyama
Wanawaroga hawajielewwi au wawwachukua wakiwa wadogo?
Mkuu wa Wilaya ya Itilima, Anna Gidarya, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwamigagani, Kata ya Mwalushu, amewataka wote wanaomiliki nyara za serikali kinyume cha sheria kuzisalimisha kwa wahusika wa uhifadhi haraka iwezekanavyo ili kuepuka hatua kali za kisheria.
GPS usiku asipotee anaporudi toka safarini.Signals kwaajili ya nini?
Hahahaha 🤣 hata kipengele hata wewe unaweza kumleaAisseee alafu wanapenda fisi sana😂
Wakiambiwa wasukuma ni majinga washamba hawaelewi. Ni aibu karne hii jamii inafuga fisi, mnyama mchafu km huyo.SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS
View attachment 3244143
Askari wa Mamlaka ya Wanyamapori kwa kushirikiana na TANAPA na Jeshi la Polisi wamefanikiwa kumuua fisi mmoja katika Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, baada ya kuingia katika makazi ya wananchi. Cha kushangaza, fisi huyo alikutwa na maandishi kwenye paja lake la kushoto, yakisomeka MALLA N 7, ingawa maana yake haijafahamika.
Operesheni hiyo maalumu imeanzishwa kufuatia matukio ya fisi kushambulia watoto nyakati za usiku, ambapo baadhi yao wamepoteza maisha. Fisi huyo aliuliwa katika kijiji cha Kimali, Kata ya Nyamalapa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kudhibiti wanyama hao hatari.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima, Anna Gidarya, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwamigagani, Kata ya Mwalushu, amewataka wote wanaomiliki nyara za serikali kinyume cha sheria kuzisalimisha kwa wahusika wa uhifadhi haraka iwezekanavyo ili kuepuka hatua kali za kisheria.
Tangu operesheni hiyo ianze, jumla ya fisi 16 wamekwisha kuuawa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Itilima na kikosi kazi cha askari wa TAWA, TANAPA na Jeshi la Polisi.
Lione hili lishamba, kuna fisi wa mtu? Huelewi maana ya nyara ya serikali? Hv hz jamii zingine vp?Sasa fisi wa watu wamewakosea nini hadi wawaue!!