Fisi aliyeuliwa amekutwa na chapa ya jina kwenye paja lake

Basi tuseme itilima hoyeee,mnaupiga mwingi.Ila tu baada msituambie mmempoteza mwanachama wenu.Msimu wa chafuzi huu tena.
 
Mkuu kila kiumbe kina moyo, as long as kina moyo unaweza kukiita na kikaja na ukakifanyia fakraa (kuingiza roho nyingine ndani yake ili kuvaa ule mwili wa mnyama) na kuanzia hapo unakitawala!
😲😲😲😲
 
Mkuu kila kiumbe kina moyo, as long as kina moyo unaweza kukiita na kikaja na ukakifanyia fakraa (kuingiza roho nyingine ndani yake ili kuvaa ule mwili wa mnyama) na kuanzia hapo unakitawala!
Aisseee alafu wanapenda fisi sana😂
 

🤣 akimaanisha nyara hizo ni pamoja na fisi wanaofugwa?
HATARI NA NUSU!
 
Wakiambiwa wasukuma ni majinga washamba hawaelewi. Ni aibu karne hii jamii inafuga fisi, mnyama mchafu km huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…