Fisi aliyeuliwa amekutwa na chapa ya jina kwenye paja lake

Juhudi ifanyike kuwapata MALLA wengine. Wako saba au zaidi. Waliyemuua ni wa saba; MALLA N 7.
 
Nishakodi shamba sehemu aisee Kila jion kagiza kakianza fisi wanatoka kwenye shimo wanaenda misele alafu kabla ya mwangaza Ile asubuh sana wanarud shimon hawadhuru mtu wapo na mambo Yao nilitaka kuwagusa nikaambiwa na wenyeji n wa mwenye shamba niwaache.

Ukanda ni huo huo ulipotokea habari hii
 
Kwa wataalam wa maswala ya elimu ya uganga na uchawi, usafiri wa Fisi ni wa daraja lipi?
Maana twasikia kuna usafiri wa kutumia pia Ungo, mfangio, Fimbo, kijiko nk nk.
Broo Mshana Jr na wengine karibu
 
Mamlaka yao ya mapato wako mwendo washafikia number N wakati sisi huku ndo kwanza tupo E
 
Sasa fisi wa watu wamewakosea nini hadi wawaue!!
Mkuu jitahidi kusoma contents ya habari ndio u comment.

Taarifa imweka bayana kwamba fisi wamekuwa wakivamia makazi ya watu na kuuwa watoto na wengine kujeruhiwa.

Sasa fisi anayejeruhi na kuuwa watu unataka wamfanyeje?
 
Saa moja watoto wanakuwa wamekaa kibarazani ama nje sasa unakuta fisi wamewavamia na kuwasababishia kifo ama majeruhi.

Ina maana watu waache kuendelea na ratiba zao kisa fisi kuingilia makazi ya watu?
Aaah mnawasingizia bwana.
 
Kibongo bongo usajili tumefikia E..
KIbongo bongo kanda ya ziwa wao usajili umefikia N.. Hapo ni N1 mpk N9 inaanza M1 mpk M9. Mpk Z9,
Kwa juhudi za Chief Hangaya
Usafiri piru kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…