Huko Waganga wamejaa wengi sanaMkuu wa Wilaya ya Itilima, Anna Gidarya, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwamigagani, Kata ya Mwalushu, amewataka wote wanaomiliki nyara za serikali kinyume cha sheria kuzisalimisha kwa wahusika wa uhifadhi haraka iwezekanavyo ili kuepuka hatua kali za kisheria.
Ni mambo ya kiganga hizo ni mila zaoWakiambiwa wasukuma ni majinga washamba hawaelewi. Ni aibu karne hii jamii inafuga fisi, mnyama mchafu km huyo.
Mila na desturiHata kupata bao za mkono wanamtegemea fisi hao.
Mila zao kufuga nilikua nawakuta Malampaka kwenye barabara pembeni wapo kibao huko ni makazi ya Fisi km ilivyo kule kwenye makazi ya Tembo wanaoua watuWasukuma na uchawi ni Pete na kidole.
Sio kanda ya ziwa.sema usukumani..ujinga kama huo huko kwetu Mara hatuna.Mambo ya kanda ya ziwa hayo.
Kusoma mawimbi na hali ya hewaSignals kwaajili ya nini?
Ila watu mnajua mengi 😅, we rubii umeyajulia wapi haya.Kusoma mawimbi na hali ya hewa
Tulia mkuu🤭Ila watu mnajua mengi 😅, we rubii umeyajulia wapi haya.
Kitaa kigumu mkuu, nikiwa na maarifa mengi nirahisi kulainisha vyuma hivyo nilipenda kujua 😅Tulia mkuu🤭
Da!!!,,,hatari sana,,,alaf utasikia m2 anasema hakuna uchawi...SOURCE: GLOBAL PUBLISHERS
View attachment 3244143
Askari wa Mamlaka ya Wanyamapori kwa kushirikiana na TANAPA na Jeshi la Polisi wamefanikiwa kumuua fisi mmoja katika Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, baada ya kuingia katika makazi ya wananchi. Cha kushangaza, fisi huyo alikutwa na maandishi kwenye paja lake la kushoto, yakisomeka MALLA N 7, ingawa maana yake haijafahamika.
Operesheni hiyo maalumu imeanzishwa kufuatia matukio ya fisi kushambulia watoto nyakati za usiku, ambapo baadhi yao wamepoteza maisha. Fisi huyo aliuliwa katika kijiji cha Kimali, Kata ya Nyamalapa, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kudhibiti wanyama hao hatari.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima, Anna Gidarya, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwamigagani, Kata ya Mwalushu, amewataka wote wanaomiliki nyara za serikali kinyume cha sheria kuzisalimisha kwa wahusika wa uhifadhi haraka iwezekanavyo ili kuepuka hatua kali za kisheria.
Tangu operesheni hiyo ianze, jumla ya fisi 16 wamekwisha kuuawa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Itilima na kikosi kazi cha askari wa TAWA, TANAPA na Jeshi la Polisi.
wewe ujasikia wanauwa wa2,na wanakula watoto wa wa2?,,,,Sasa fisi wa watu wamewakosea nini hadi wawaue!!
Ficheni watoto wenu usiku, kwanini wazurure usiku!wewe ujasikia wanauwa wa2,na wanakula watoto wa wa2?,,,,