acha uchochezi wewe. Mayele aache kutafuta sympathy baada ya mpira kumshinda, yeye aweke bidiii na aache kuchagua watu
Watanzania ndio maana hata wakiachwa na wapenzi wao huwa wanajiua.
Mchezaji wala hakuwa na miaka mitano kwenye timu yenu ila mmeshindwa kabisa kumuacha aendelee na maisha yake?