acha uchochezi wewe. Mayele aache kutafuta sympathy baada ya mpira kumshinda, yeye aweke bidiii na aache kuchagua watu
Watanzania ndio maana hata wakiachwa na wapenzi wao huwa wanajiua.
Mchezaji wala hakuwa na miaka mitano kwenye timu yenu ila mmeshindwa kabisa kumuacha aendelee na maisha yake?
Kama kweli wanaroga basi hatari. Viongozi wajiangalie tenaNimesikitishwa sana na hii habari. Hata hawa kina Baleke na Kramo ni majini ya Yanga tu. Timu imejaa waswahili. Hakuna mechi ambayo Yanga inacheza bila kuroga. Hii sizungumzi kishabiki
Mti mkavu okwi alipita pale yanga akawavuruga na majn walituma yali dundaNimesikitishwa sana na hii habari. Hata hawa kina Baleke na Kramo ni majini ya Yanga tu. Timu imejaa waswahili. Hakuna mechi ambayo Yanga inacheza bila kuroga. Hii sizungumzi kishabiki
Bwege yuleYanga huyu Mayele amewakosea nini hadi mnataka kumuua?
Okwi mjinga yule alikuwa anaenda kwao kurekebishaMti mkavu okwi alipita pale yanga akawavuruga na majn walituma yali dunda
Huyu tunaye tu hatoweza hata afanyejeacha uchochezi wewe. Mayele aache kutafuta sympathy baada ya mpira kumshinda, yeye aweke bidiii na aache kuchagua watu
Ulitumia shilingi ngapi kumtengeneza.Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Acha kubweka huwezi mfanya lolote.Leo unasema umechoka na majini. Kipindi kile yanakusaidia hukuchoshwa nayo? Waulize wenzio sasa. Muulize Feisal si una namba yake. Waulize wengi tu ambao wamepita Yanga wakatengenezwa wakajifanya wajuaji. Uliza wapo wapi mbwa wewe. Sisi ndo tumekujenga.
View attachment 2901484View attachment 2901485
Nyie na hizo afya zenu huwa tunawanyamazia. Mimi huwa kwa wewe afya yako ilivyo naogopa hata kukufokea. Nitapata kesi.Acha kubweka huwezi mfanya lolote.
Hayo majini si yangechukua CAF huko afcon Rais mmoja wa DRC alipeleka waganga wengi kuliko washabiki huko World Cup mechi ya kwanza tu wakafungwa 9:0 akaamua kurudisha waganga Congo..Ndio maana nilikuwa nashangaa huu mpira yanga wameutoa wapi kumbe wanawachezesha majini sisi tunajua wakina pakome na the like..😀🤣🤣
Mkuu usije kuniponza 🤣🙌Mti mkavu okwi alipita pale yanga akawavuruga na majn walituma yali dunda