Fiston Mayele na Litombo Bangala walichomfanyia Inonga ni kumkosea Heshima na kukiuka haki za Binadamu, TFF iingilie kukomesha hii tabia

Fiston Mayele na Litombo Bangala walichomfanyia Inonga ni kumkosea Heshima na kukiuka haki za Binadamu, TFF iingilie kukomesha hii tabia

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata FIFA wanahimiza sana.

Cha ajabu Klabu ya Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafuta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu.

TFF ni wajibu kulichunguza hili

 
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Kwani huu ushamba umeuanza lini mkuu?
 
Nasapoti mawazo ya mtoa mada huu ni udhalilishaji kabisa 😂😂😆😆
 
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Achana na mambo ya wakongo wa Goma wanajuana hao. Utani huo wewe, hukumbuki game iliyopita Inonga alichomfanyia Mayele
 
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Nakubaliana na wewe lakini Kwanza naomba comment yako ukilaani kitendo alichofanya Inongà kama hiki msimu uliopita dhidi ya Mayele.
 
What come around...... mmesahau alichowahi kumfanyia mayele...

Malipo ni hapa hapa duniani..[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mtafungwa Kila mechi kwa utoto wake huyo

Kala dobo (tobo) na goli likafungwa
 
Mimi Simba mwenzio ila hapo sioni shambulio la aibu, hiyo ndo maana ya utani wa jadi,mpira sio vita
 
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Acha kupanic hujui huko kwao Congo wapo vp ndyo maana hakufanya chochote huyo inonga na kama uliangalia mpaka mwisho walikua pamoja na picha walipiga halafu mbona huzungumzii tukio la Inonga alilomfanyia Sure boy acha unazi kwa vitu vidogo
 
Back
Top Bottom