Fiston Mayele na Litombo Bangala walichomfanyia Inonga ni kumkosea Heshima na kukiuka haki za Binadamu, TFF iingilie kukomesha hii tabia

Fiston Mayele na Litombo Bangala walichomfanyia Inonga ni kumkosea Heshima na kukiuka haki za Binadamu, TFF iingilie kukomesha hii tabia

Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Hawa wanajuana, msimu uliopita mbona Inonga alikuwa anamsindikiza Mayele nje akifanyiwa sub.....
Ile ilikuwa ni utani tu.
 
Inonga jana kacharazwa yeye. Halafu kuanzia leo naacha kuchukulia mpira serious aisee utaniua jana hata usingizi umepaa na hivyo na mr nae ni simba kindakindaki basi kila mtu aligeukia upande wake. Itoshe kusema ntashangilia kwa kiasi.
Pole mkuu, Mimi pia nishaachaga kuchukulia serious Mambo ya mpira, japo ni Simba lakini sikuumia nafsi, Kwanza Inatakiwa kutambua mpira una matokeo ya aina 3
 
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Wafungiwe hao kama Manara ili Uto wakose ubingwa.

Nadhani "Alshabaab" ametusikia.
 
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
Hao ni wakongo wanajuana vizuri na wanataniana sana
 
🤓 ni msimu mwingine wa maandamano kwa tff dhidi ya Yanga.
Hilo nalo halitoshi, kamshitaki hata staili yake ya ushangiliaji kama nayo haisoshi kaseme na magoli yaliyofungwa ni kuiaibisha klabu ya Simba na wachezaji wake.
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.

Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,

Tff ni wajibu kulichunguza hili

View attachment 2323275
 
Back
Top Bottom