Hawa wanajuana, msimu uliopita mbona Inonga alikuwa anamsindikiza Mayele nje akifanyiwa sub.....Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.
Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,
Tff ni wajibu kulichunguza hili
View attachment 2323275
Pole mkuu, Mimi pia nishaachaga kuchukulia serious Mambo ya mpira, japo ni Simba lakini sikuumia nafsi, Kwanza Inatakiwa kutambua mpira una matokeo ya aina 3Inonga jana kacharazwa yeye. Halafu kuanzia leo naacha kuchukulia mpira serious aisee utaniua jana hata usingizi umepaa na hivyo na mr nae ni simba kindakindaki basi kila mtu aligeukia upande wake. Itoshe kusema ntashangilia kwa kiasi.
Wafungiwe hao kama Manara ili Uto wakose ubingwa.Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.
Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,
Tff ni wajibu kulichunguza hili
View attachment 2323275
Hao ni wakongo wanajuana vizuri na wanataniana sanaHuu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.
Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,
Tff ni wajibu kulichunguza hili
View attachment 2323275
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata Fifa wanahimiza sana.
Cha ajabu klabu a Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga akiwa baada ya mechi alikuwa anawahi kwenda kutafta sehemu ya mapumziko lakini ghafla mbele yake akazingirwa na wachezaji wa Yanga, Fiston Mayele na Litombo Bangala wakamvamia na kumfanyia shambulio la aibu,,
Tff ni wajibu kulichunguza hili
View attachment 2323275