Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Mimi simba hawa utopolo walikuwa wanatusumbua sana,yaan mpaka leo tena mpaka jamaa nikamwambia mkuu unaweza wewe kupangiwa hata na hao Yellow Nation,lakin mwana utopolo alikuwa haambiliki.Mamelodi sundown kaleta stress Sana Leo...
Yaan unakuta utopolo linakwambia Simba vs mamerod
Yanga vs assec mpaka unashangaa,ila leo ndio wakome