Fitina na Uhuni behind draw za CAF, tukomae tu

Fitina na Uhuni behind draw za CAF, tukomae tu

Yule mwarabu aliyeichagua ball ya Al Ahly kuonyesha wanaenda kucheza na Simba baada ya kusoma kikaratasi alianza kucheka sana, kile kicheko hakikuwa cha furaha kina uashiria fulani wa woga. Akamuangalia yule Mzee wa Al Ahly aliyekaa mbele nadhani akamuonyesha ishara "tutakuwa poa tu". Ni uchaguzi pekee leo ambao uliona msomaji wa karatasi ameonyesha hisia za wazi.

Kuna yule mwenzao ndiyo akaamua kuondoka kabisa stejini akawaacha wenzake.
 
Leo asubuhi mapema tu nimekuta micky jnr amepost kaandika draw test halafu kaweka draw hii hii iliyopangwa na CAF. yaani niliona kama anatabiri tu ile asubuhi ila kuona kila kitu kimefanana kwakweli nikaingiwa na mashaka. Nikaingia kwenye post zake baada ya kutoka kwa draw nikaona kafuta ile post. Kwa waliona post ya Micky Jnr watakuwa mashahidi kwa hiki nachosema
Kwenye post alisema Yanga vs Mamelodi, Simba vs Petro Luanda
 
Yule mwarabu aliyeichagua ball ya Al Ahly kuonyesha wanaenda kucheza na Simba baada ya kusoma kikaratasi alianza kucheka sana, kile kicheko hakikuwa cha furaha kina uashiria fulani wa woga. Akamuangalia yule Mzee wa Al Ahly aliyekaa mbele nadhani akamuonyesha ishara "tutakuwa poa tu". Ni uchaguzi pekee leo ambao uliona msomaji wa karatasi ameonyesha hisia za wazi.
Hayo umeyaona wewe kolo wa head
 
Simba hatuna mashaka kabisa naona hii ndio njia yetu ya kuelekea nusu fainali
 
Wakubwa siku zote uwa wanajichagukia timu wanazo zani ni dhaifu ila ukisha watoa nishai Wana kukimbia.

Kwenye mahojiano baada ya makundi kupangwa Engineer Hersi Ali dokeza, wakati Yanga wanacheza mechi ya mwisho dhidi ya Ahly, Mamelodi walikua wametuma wataalamu wao kuja kuangalia mechi Ile.
Maana yake tayari walisha panga kua watakutana na Yanga.

Kinacho hitajika ni Yanga kuwaandalia surprise package ao Mamelodi na ita watisha wakubwa wengine wa soka kwamba nyuki hapigwi busu.
Kwanini unaamini hao Mamelodi wametuma wataalam kuangalia mechi ya Yanga tu,je kama wametuma wataalam kwa mechi zote tofauti tofauti?
 
Hizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba.

Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina ya kuhonga timu pinzani Ili wakubwa wapite kirahisi.

Sasa ni wakati wa watanzania kujikomaza kisaikolojia, wametupangia hivyo makusudi Ili tutoke , wametuona sisi ni dhaifu, nasema sisi watanzania sio dhaifu , lazma tukabiliane na mishale yote dhidi yetu.

Sasa kwenye Madam Kuu, Hawa jamaa wa CAF Huwa tayari washapanga nani akutane na nani, pale utaona mipira yote katika vyungu tengwa inafanana Kila kitu ukiangalia Kwa macho lakini sio kweli mipira haifanani, nikujulishe kumekuwa na uvujaji wa taarifa juu ya kinachofanyika kwenye draw za michuano mkubwa kama hii.

Sasa unaweza ukaona Kwa mbali ama kwa karibu mipira minne ya chungu kimoja inafanana kwa Kila kitu yaani rangi na size, ila kiukweli hilo halipo na ndomaana nasema draw inapangwa nje, pale unaweza kuona mipira imefanana rangi lakini anaebeba mpira anajua kabisa nabeba timu gani kwasababu wahuni wale huwa katika mipira iliyofanana ndani yake utakuta kuna mpira wa moto yaani unajoto labda huyu yanga, kuna mpira wa baridi huyu labda simba, kuna mpira mzito kuliko mingine huu utajua ni mamelod, na kuna mpira kama una upele huyu ni asec,
Hivyo kuzani kwamba draw inachezeshwa fair ninkujidanganya, all in all mpira utabaki kuwa na maajabu yake , watu wanaweza wakafanya Kila kitu ila mpira ukaja na matokeo yake ya kipekee
Hadithi zote hizi Kwa sababu Yanga Kapangwa na Mamelodi,ingekuwa ASEC ungesema haya?Kila mtu apambane na Hali yake, Pathetic
 
Mwaka Jana alilikosa Kwa uzembe tu...draw ya 2-2 nyumbani...basi...
Halafu ni bingwa WA super league...

Haogopwi bure ..
Hakuna uzembe,huo ndio uwezo wake ulipoishia. Kombe lenyewe kachukua mara tena miaka nane iliyopita. Nasema hiviiii,let them come
 
Simba na Yanga zote out.

Hii ndio faida ya uwekezaji Chupli chupli.

Akina Mo ni wezi na Matapeli wakubwa wakuihujumu simba.

TIMU ZOTE ZITATOLEWA ROBO FAINALI.
 
Kwanini unaamini hao Mamelodi wametuma wataalam kuangalia mechi ya Yanga tu,je kama wametuma wataalam kwa mechi zote tofauti tofauti?
Timu kubwa kwenye mipango Yao hawabahatishi. Wakati sisi uku tunafanya prediction ya nani utacheza naye wao unakuta walisha book ticket, hotel na uwanja wa mazoezi kwakua walishaijua safari Yao mapema.
Unakuta ata refa walisha mjua[emoji1][emoji1]
 
Hizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba.

Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina ya kuhonga timu pinzani Ili wakubwa wapite kirahisi.

Sasa ni wakati wa watanzania kujikomaza kisaikolojia, wametupangia hivyo makusudi Ili tutoke , wametuona sisi ni dhaifu, nasema sisi watanzania sio dhaifu , lazma tukabiliane na mishale yote dhidi yetu.

Sasa kwenye Madam Kuu, Hawa jamaa wa CAF Huwa tayari washapanga nani akutane na nani, pale utaona mipira yote katika vyungu tengwa inafanana Kila kitu ukiangalia Kwa macho lakini sio kweli mipira haifanani, nikujulishe kumekuwa na uvujaji wa taarifa juu ya kinachofanyika kwenye draw za michuano mkubwa kama hii.

Sasa unaweza ukaona Kwa mbali ama kwa karibu mipira minne ya chungu kimoja inafanana kwa Kila kitu yaani rangi na size, ila kiukweli hilo halipo na ndomaana nasema draw inapangwa nje, pale unaweza kuona mipira imefanana rangi lakini anaebeba mpira anajua kabisa nabeba timu gani kwasababu wahuni wale huwa katika mipira iliyofanana ndani yake utakuta kuna mpira wa moto yaani unajoto labda huyu yanga, kuna mpira wa baridi huyu labda simba, kuna mpira mzito kuliko mingine huu utajua ni mamelod, na kuna mpira kama una upele huyu ni asec,
Hivyo kuzani kwamba draw inachezeshwa fair ninkujidanganya, all in all mpira utabaki kuwa na maajabu yake , watu wanaweza wakafanya Kila kitu ila mpira ukaja na matokeo yake ya kipekee
This is stupidity of the highest order. Timu ziko nane. Possibility ya kupangwa na timu nyingine iliyoishia nafadi ya pili haipo kutokana na draw procedure. Halafu katika timu nne zilizobaki huwezi kupangwa na timu uliyokuwa nayo group moja. Kwa hiyo unabaki na timu tatu unazoweza kupangwa against. Utasemaje imepangwa kabla? Kwa nini watu mnaojidanya ligi yenu ni kati ya ligi bora Africa mnalalamika kama watoto wadogo? Mountains are there to climbed. Kwa nini mnagwaya wakati ninyi ni wazoefu wa ligi ya mabingwa Africa?

Wanaolalamika sana kwenye hii forum ni mashabiki wa Simba badala ya kuthinitisha ubora wenu.
Msimu uliopita kila kabla ya mechi ya Yanga kulikuwa na threads nyingi zikitabiri mwisho wa Yanga kila hatua lakini it was proved wrong. Na msimu huu upuuzi ule ule unaendelea kwamba hawatoboi makundi. Sasa aneingia robo bado watu wanaendelea na upuuzi wao. Grow up!
Nilipost nahali kabla ya mechi za makundi kuisha kwamba bingwa wa mwaka huu CL atatoka group D na ndivyo itakavyokuwa.
Nawapa heko mashabiki wa Yanga hawana upuuzu huu wanajua katika mechi ya football kuna matokeo matatu. Lakini vile vile wanauaminintimu yao. Jwsongakuna tomu ndigo wala kubwa. Always be positive you will live long. Punuzeni stress and enjoybthe beautiful game
Hizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba.

Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina ya kuhonga timu pinzani Ili wakubwa wapite kirahisi.

Sasa ni wakati wa watanzania kujikomaza kisaikolojia, wametupangia hivyo makusudi Ili tutoke , wametuona sisi ni dhaifu, nasema sisi watanzania sio dhaifu , lazma tukabiliane na mishale yote dhidi yetu.

Sasa kwenye Madam Kuu, Hawa jamaa wa CAF Huwa tayari washapanga nani akutane na nani, pale utaona mipira yote katika vyungu tengwa inafanana Kila kitu ukiangalia Kwa macho lakini sio kweli mipira haifanani, nikujulishe kumekuwa na uvujaji wa taarifa juu ya kinachofanyika kwenye draw za michuano mkubwa kama hii.

Sasa unaweza ukaona Kwa mbali ama kwa karibu mipira minne ya chungu kimoja inafanana kwa Kila kitu yaani rangi na size, ila kiukweli hilo halipo na ndomaana nasema draw inapangwa nje, pale unaweza kuona mipira imefanana rangi lakini anaebeba mpira anajua kabisa nabeba timu gani kwasababu wahuni wale huwa katika mipira iliyofanana ndani yake utakuta kuna mpira wa moto yaani unajoto labda huyu yanga, kuna mpira wa baridi huyu labda simba, kuna mpira mzito kuliko mingine huu utajua ni mamelod, na kuna mpira kama una upele huyu ni asec,
Hivyo kuzani kwamba draw inachezeshwa fair ninkujidanganya, all in all mpira utabaki kuwa na maajabu yake , watu wanaweza wakafanya Kila kitu ila mpira ukaja na matokeo yake ya kipekee
No
 
Back
Top Bottom