Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Maiti hachagui jenezaAcha wapambane.
Mfungwa hachagui gereza!
Ĥata kama angekuwa mbovu hapa watu washafungwa kisaikolojia hata kabla ya mechiMamelodi sundown kaleta stress Sana Leo...
Kwenye post alisema Yanga vs Mamelodi, Simba vs Petro LuandaLeo asubuhi mapema tu nimekuta micky jnr amepost kaandika draw test halafu kaweka draw hii hii iliyopangwa na CAF. yaani niliona kama anatabiri tu ile asubuhi ila kuona kila kitu kimefanana kwakweli nikaingiwa na mashaka. Nikaingia kwenye post zake baada ya kutoka kwa draw nikaona kafuta ile post. Kwa waliona post ya Micky Jnr watakuwa mashahidi kwa hiki nachosema
Hayo umeyaona wewe kolo wa headYule mwarabu aliyeichagua ball ya Al Ahly kuonyesha wanaenda kucheza na Simba baada ya kusoma kikaratasi alianza kucheka sana, kile kicheko hakikuwa cha furaha kina uashiria fulani wa woga. Akamuangalia yule Mzee wa Al Ahly aliyekaa mbele nadhani akamuonyesha ishara "tutakuwa poa tu". Ni uchaguzi pekee leo ambao uliona msomaji wa karatasi ameonyesha hisia za wazi.
Tulishawaambia sisi watani zetu ni Al Ahly hamkutaka kusikia. Leo hii wenzetu mnaapa "Al Qisas Haq!" kumbe mnacheza na watani zenu Ihefu. Vidole havilinganiHayo umeyaona wewe kolo wa head
Kwanini unaamini hao Mamelodi wametuma wataalam kuangalia mechi ya Yanga tu,je kama wametuma wataalam kwa mechi zote tofauti tofauti?Wakubwa siku zote uwa wanajichagukia timu wanazo zani ni dhaifu ila ukisha watoa nishai Wana kukimbia.
Kwenye mahojiano baada ya makundi kupangwa Engineer Hersi Ali dokeza, wakati Yanga wanacheza mechi ya mwisho dhidi ya Ahly, Mamelodi walikua wametuma wataalamu wao kuja kuangalia mechi Ile.
Maana yake tayari walisha panga kua watakutana na Yanga.
Kinacho hitajika ni Yanga kuwaandalia surprise package ao Mamelodi na ita watisha wakubwa wengine wa soka kwamba nyuki hapigwi busu.
Tunasema hiviiii,tulieni tuwaonyeshe jinsi ya kufika nusu final.Mengine sijui, ila hiyo ya kupangwa Kwa hiyo mlitakaje, mpangwe na nani?
Hadithi zote hizi Kwa sababu Yanga Kapangwa na Mamelodi,ingekuwa ASEC ungesema haya?Kila mtu apambane na Hali yake, PatheticHizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba.
Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina ya kuhonga timu pinzani Ili wakubwa wapite kirahisi.
Sasa ni wakati wa watanzania kujikomaza kisaikolojia, wametupangia hivyo makusudi Ili tutoke , wametuona sisi ni dhaifu, nasema sisi watanzania sio dhaifu , lazma tukabiliane na mishale yote dhidi yetu.
Sasa kwenye Madam Kuu, Hawa jamaa wa CAF Huwa tayari washapanga nani akutane na nani, pale utaona mipira yote katika vyungu tengwa inafanana Kila kitu ukiangalia Kwa macho lakini sio kweli mipira haifanani, nikujulishe kumekuwa na uvujaji wa taarifa juu ya kinachofanyika kwenye draw za michuano mkubwa kama hii.
Sasa unaweza ukaona Kwa mbali ama kwa karibu mipira minne ya chungu kimoja inafanana kwa Kila kitu yaani rangi na size, ila kiukweli hilo halipo na ndomaana nasema draw inapangwa nje, pale unaweza kuona mipira imefanana rangi lakini anaebeba mpira anajua kabisa nabeba timu gani kwasababu wahuni wale huwa katika mipira iliyofanana ndani yake utakuta kuna mpira wa moto yaani unajoto labda huyu yanga, kuna mpira wa baridi huyu labda simba, kuna mpira mzito kuliko mingine huu utajua ni mamelod, na kuna mpira kama una upele huyu ni asec,
Hivyo kuzani kwamba draw inachezeshwa fair ninkujidanganya, all in all mpira utabaki kuwa na maajabu yake , watu wanaweza wakafanya Kila kitu ila mpira ukaja na matokeo yake ya kipekee
Hiyo super league iliyoshirikisha timu zilizojifia kama 5imba?Mwaka Jana alilikosa Kwa uzembe tu...draw ya 2-2 nyumbani...basi...
Halafu ni bingwa WA super league...
Haogopwi bure ..
Hakuna uzembe,huo ndio uwezo wake ulipoishia. Kombe lenyewe kachukua mara tena miaka nane iliyopita. Nasema hiviiii,let them comeMwaka Jana alilikosa Kwa uzembe tu...draw ya 2-2 nyumbani...basi...
Halafu ni bingwa WA super league...
Haogopwi bure ..
Simba hatuna mashaka kabisa naona hii ndio njia yetu ya kuelekea nusu fainali
Waliwaona hao ndo wakuwapeleka nusu fainaliYaaan kila ukikaa wanamtaka assec,yaaani kila muda assec
Timu kubwa kwenye mipango Yao hawabahatishi. Wakati sisi uku tunafanya prediction ya nani utacheza naye wao unakuta walisha book ticket, hotel na uwanja wa mazoezi kwakua walishaijua safari Yao mapema.Kwanini unaamini hao Mamelodi wametuma wataalam kuangalia mechi ya Yanga tu,je kama wametuma wataalam kwa mechi zote tofauti tofauti?
This is stupidity of the highest order. Timu ziko nane. Possibility ya kupangwa na timu nyingine iliyoishia nafadi ya pili haipo kutokana na draw procedure. Halafu katika timu nne zilizobaki huwezi kupangwa na timu uliyokuwa nayo group moja. Kwa hiyo unabaki na timu tatu unazoweza kupangwa against. Utasemaje imepangwa kabla? Kwa nini watu mnaojidanya ligi yenu ni kati ya ligi bora Africa mnalalamika kama watoto wadogo? Mountains are there to climbed. Kwa nini mnagwaya wakati ninyi ni wazoefu wa ligi ya mabingwa Africa?Hizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba.
Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina ya kuhonga timu pinzani Ili wakubwa wapite kirahisi.
Sasa ni wakati wa watanzania kujikomaza kisaikolojia, wametupangia hivyo makusudi Ili tutoke , wametuona sisi ni dhaifu, nasema sisi watanzania sio dhaifu , lazma tukabiliane na mishale yote dhidi yetu.
Sasa kwenye Madam Kuu, Hawa jamaa wa CAF Huwa tayari washapanga nani akutane na nani, pale utaona mipira yote katika vyungu tengwa inafanana Kila kitu ukiangalia Kwa macho lakini sio kweli mipira haifanani, nikujulishe kumekuwa na uvujaji wa taarifa juu ya kinachofanyika kwenye draw za michuano mkubwa kama hii.
Sasa unaweza ukaona Kwa mbali ama kwa karibu mipira minne ya chungu kimoja inafanana kwa Kila kitu yaani rangi na size, ila kiukweli hilo halipo na ndomaana nasema draw inapangwa nje, pale unaweza kuona mipira imefanana rangi lakini anaebeba mpira anajua kabisa nabeba timu gani kwasababu wahuni wale huwa katika mipira iliyofanana ndani yake utakuta kuna mpira wa moto yaani unajoto labda huyu yanga, kuna mpira wa baridi huyu labda simba, kuna mpira mzito kuliko mingine huu utajua ni mamelod, na kuna mpira kama una upele huyu ni asec,
Hivyo kuzani kwamba draw inachezeshwa fair ninkujidanganya, all in all mpira utabaki kuwa na maajabu yake , watu wanaweza wakafanya Kila kitu ila mpira ukaja na matokeo yake ya kipekee
NoHizi draw za CAF Huwa tayari zinakuwa zishapangwa huko nje, hapo wanakuja kutimiza ratiba.
Michuano hii huwaga na fitina nyingi sana, kuanzia Kwa marefa, mapokezi, uchezeshaji wa draw na fitina ya kuhonga timu pinzani Ili wakubwa wapite kirahisi.
Sasa ni wakati wa watanzania kujikomaza kisaikolojia, wametupangia hivyo makusudi Ili tutoke , wametuona sisi ni dhaifu, nasema sisi watanzania sio dhaifu , lazma tukabiliane na mishale yote dhidi yetu.
Sasa kwenye Madam Kuu, Hawa jamaa wa CAF Huwa tayari washapanga nani akutane na nani, pale utaona mipira yote katika vyungu tengwa inafanana Kila kitu ukiangalia Kwa macho lakini sio kweli mipira haifanani, nikujulishe kumekuwa na uvujaji wa taarifa juu ya kinachofanyika kwenye draw za michuano mkubwa kama hii.
Sasa unaweza ukaona Kwa mbali ama kwa karibu mipira minne ya chungu kimoja inafanana kwa Kila kitu yaani rangi na size, ila kiukweli hilo halipo na ndomaana nasema draw inapangwa nje, pale unaweza kuona mipira imefanana rangi lakini anaebeba mpira anajua kabisa nabeba timu gani kwasababu wahuni wale huwa katika mipira iliyofanana ndani yake utakuta kuna mpira wa moto yaani unajoto labda huyu yanga, kuna mpira wa baridi huyu labda simba, kuna mpira mzito kuliko mingine huu utajua ni mamelod, na kuna mpira kama una upele huyu ni asec,
Hivyo kuzani kwamba draw inachezeshwa fair ninkujidanganya, all in all mpira utabaki kuwa na maajabu yake , watu wanaweza wakafanya Kila kitu ila mpira ukaja na matokeo yake ya kipekee