Fitina na Uhuni behind draw za CAF, tukomae tu

Timu kubwa kwenye mipango Yao hawabahatishi. Wakati sisi uku tunafanya prediction ya nani utacheza naye wao unakuta walisha book ticket, hotel na uwanja wa mazoezi kwakua walishaijua safari Yao mapema.
Unakuta ata refa walisha mjua[emoji1][emoji1]
Huna facts
 
MKUU HAHAHAHAA YALE MARYDIO TU
GOOGLE KUNA KASHFA YA KUZIBEBA TIMUZA MISRI ENZO HIZO MMOJA AKAJIACHIA KUNA VIDUBWASHA VYA JOTO NA BARIDI SO WAKIBEBAA WANAJUA ANAKUJA FLAN
IMEISHAHIOOO
 
Sisi hatujali watupe yoyote tu
Wametupa hao wazulu tunawasubiri ,hakuna kulia lia hapa ni kuua tu
 
Acha malalamiko.hakuna hujuma yoyote.kwasababu wa kwanza anapangwa na wa pili.mngetaka kupangwa na vibonde mngeongoza kundi.mlikua mnalilia ukubwa sasa mnalalamika nini?.Au mlitaka mpangwe na nani kwa mfano.Au mnajitapa kwa vibonde wakija wakubwa mnafyata.Fupa hilo mpambane nalo.
 
Mm mi simba damu ila nawaombea uto wawachape hao mamelod tano ubweche na simba baba laiwapo kichapo waarab ili nao wakafunge ramadhan kwa utulivi sio kila mwaka wasumbue wao tu
 
Umeongea jambo kubwa sana ila..
Twende tukapambane kama nchi..tusiwe na mentality za kina popoma na okwi baban sunzu
 
Ukitizama kiundani ni kama vile vitufe vina alama za nundu au upele ambao unamjulisha uzugaji kujidai anachagua kumbe walishapamba hayo mapema

Nilibaini hilo bada ya kuona ni kama anapapasa flani yale matufe
Hiyo yote nini, kuwaogopa mamelodi au?
 
Hao watu wanaweweseka tu wala hawawezi kukuelewa.Badala wajue kanuni zinasemaje wao wanajichagulia mpinzani kibonde ili wakimfunga wajifarijir wana timu kubwa.
 
Hahaha [emoji1787][emoji23]!! Dawa imeingia
 
Hao watu wanaweweseka tu wala hawawezi kukuelewa.Badala wajue kanuni zinasemaje wao wanajichagulia mpinzani kibonde ili wakimfunga wajifarijir wana timu kubwa.
Kipindi wanapangwa na Rivers hakuna aliyethubutu kuhoji uhalali wa upangaji wa draw.

Badala yake tuliwaona wakishangilia
 
Ni kweli, hata mimi nilikuwa naipenda Barca kwa viwango vile hadi ilipogundulika walikuwa wananunua matokeo.

Hiyo inawezekana. Ile ni Biashara, hapo bado kuna fitna part 2 katika kuhakikisha hatupiti hata tujitutumueje.
 
Walipanga wapi?.uku ni kujifariji..Wenzako bench lao la ufundi liko serious na lina watu kibao wanaosambaa kila kona kwenye timu zenye mashindano wanayoona watakutana nao.wanatuma watu kwenye timu kibao.fwatilia taarifa zao utaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…