Fitness and wellness

Fitness and wellness

Bila mazoezi maisha yangu yatakuwa ni ya idhilali kubwa sana.

Nayafurahia mazoezi kuwa ni sehemu ya muhimu ya maisha yangu.
ukiachalia mbali kuwa imara mazoezi pia yanafanya mtu kuwa vizuri sana kwenye mambo yetu Yale!

watu hawajui tu wanalalama huku kila kukicha!
 
Nasadiki wewe ni mdada, sio?

Kwa urefu wako huo wa 5'7 na hizo kilo zako, bila ya kukuona na kujua genetic body type yako, naweza kuhisi huenda uko overweight kidogo.

Nadhani kilo 68-70 ndo ideal weight yako



Unakula vyakula gani hasa? Kiti moto, chipsi, mishikaki?

Soda na juisi unakunywa?

Caloric output na input yako ikoje? Unai-monitor?

Unazijua calories unazokula kila siku?



Naona huna self-motivation. Kwa watu wengi hili ndo tatizo kubwa ambalo huwa naliona.

Kwa sie wengine self-motivation si ishu kabisa.

Kwako naona hiyo ndo inaweza kuwa changamoto iliyo kikwazo cha wewe kufikia uzito unaotaka kuufikia.

Unaweza kubadilika kwenye hilo?
Yes mimi ni mdada aged 26, kuhusu overweight yaweza ikawa ingawa sio mzito, mchana huwa nakula kazini mara nyingi wali au chipsi mara chache sana,soda nilikuwa nakunywa mwanzo ila sasa nimeacha natengeneza mwenyewe fresh, kuhusu colories input na output hivyo vitu sivifahamu, self motivation ninayo ila sio sana nikiwa nyumbani huwa najaribu kuruka kamba ila sio kila siku , kuhusu kukimbia mwenyewe asubuhi naogopa na jioni natoka kazini late
 
Yes mimi ni mdada aged 26, kuhusu overweight yaweza ikawa ingawa sio mzito, mchana huwa nakula kazini mara nyingi wali au chipsi mara chache sana,soda nilikuwa nakunywa mwanzo ila sasa nimeacha natengeneza mwenyewe fresh, kuhusu colories input na output hivyo vitu sivifahamu, self motivation ninayo ila sio sana nikiwa nyumbani huwa najaribu kuruka kamba ila sio kila siku , kuhusu kukimbia mwenyewe asubuhi naogopa na jioni natoka kazini late
Malcom dili hili.. Muulize anakokaa muwe mnajog wote asubuhi..
 
Yes mimi ni mdada aged 26, kuhusu overweight yaweza ikawa ingawa sio mzito, mchana huwa nakula kazini mara nyingi wali au chipsi mara chache sana,soda nilikuwa nakunywa mwanzo ila sasa nimeacha natengeneza mwenyewe fresh, kuhusu colories input na output hivyo vitu sivifahamu, self motivation ninayo ila sio sana nikiwa nyumbani huwa najaribu kuruka kamba ila sio kila siku , kuhusu kukimbia mwenyewe asubuhi naogopa na jioni natoka kazini late

Kazi yako ni sedentary?
 
Mkuuu nzuri sana hiii.

Oky hebu pitia taratibu tambua haina ya mwili wako na mazoezi ya kufanya
1473177215592.jpg
 
Malcom dili hili.. Muulize anakokaa muwe mnajog wote asubuhi..

Haaaahaaaa Fisadi wazzuup bro,
Ila mbona mimi sikai Marekani halafu sina hata kazi,
Hebu muulize basi kama atapenda kampani ya wala vumbi wa Mtwara????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Haaaahaaaa Fisadi wazzuup bro,
Ila mbona mimi sikai Marekani halafu sina hata kazi,
Hebu muulize basi kama atapenda kampani ya wala vumbi wa Mtwara????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hahahahahaha huyo sio wa marekani bwana.. Wa tabata tu hapo. Itabidi siku tukae pale Fire tule bia bana
 
Nimependa ka msemo hako. Eat clean n train dirty.


Kwa wale wanaopunguza mwili, mazoezi ya Cardio ndo wanaotakiwa kufanya kwa wingi

Huku ukipunguza ulaji wa fat na carbs
 
Back
Top Bottom