Fitness and wellness

Fitness and wellness

Hahahahahaha huyo sio wa marekani bwana.. Wa tabata tu hapo. Itabidi siku tukae pale Fire tule bia bana

Eeeh bwana tutafutane tupige mbili tatu hivi,
Ngabu anasema mabaa ya bongo yamejaa Mapaka utadhani jalala la mzungu,
teh teh teh teh teh.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Eeeh bwana tutafutane tupige mbili tatu hivi,
Ngabu anasema mabaa ya bongo yamejaa Mapaka utadhani jalala la mzungu,
teh teh teh teh teh.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Daaaaaahh mabar ya bongo yamejaa mapaka.. Aisee nomaa sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Daaaaaahh mabar ya bongo yamejaa mapaka.. Aisee nomaa sana

Ila fisadi eeh tuache mzaha nakumbuka miaka ya nyuma wakati nipo mdogo walikuwa wanakuja sana pale ubalozi,
dingi akawa anawafanyia Diet Therapy kidogo si unajua box haijazi mfuko???
Alivyoondoka likaja zee moja hivi liliwanyoosha hakuna Party za graduation wala get together,

Bwahahaaaa bwahaaaaa bwahaaaaa!!!!!!
😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mkuuu nzuri sana hiii.

Oky hebu pitia taratibu tambua haina ya mwili wako na mazoezi ya kufanyaView attachment 394989

Hiyo nayo ni muhimu sana.

Ndo maana mara nyingi nimekuwa nikiwauliza watu kuhusu genetic body types zao.

Genetics ndo msingi wa kila kitu kwani yote utakayoyafanya juu ya mwili wako tayari yapo.

Kinachofuata ni kuongezea au kupunguza tu.
 
Ila fisadi eeh tuache mzaha nakumbuka miaka ya nyuma wakati nipo mdogo walikuwa wanakuja sana pale ubalozi,
dingi akawa anawafanyia Diet Therapy kidogo si unajua box haijazi mfuko???
Alivyoondoka likaja zee moja hivi liliwanyoosha hakuna Party za graduation wala get together,

Bwahahaaaa bwahaaaaa bwahaaaaa!!!!!!
😀😀😀😀😀😀😀😀
Zahahahahahahahaa daaaahh Mali unajua watu wapo gym hapa alafu umekuja kuchafua hali ya hewa.. Au wewe kimbau mbau una wivu hahahaha
 
Hiyo nayo ni muhimu sana.

Ndo maana mara nyingi nimekuwa nikiwauliza watu kuhusu genetic body types zao.

Genetics ndo msingi wa kila kitu kwani yote utakayoyafanya juu ya mwili wako tayari yapo.

Kinachofuata ni kuongezea au kupunguza tu.
Sahihi.

Baada ya hapo amua unataka kuwa nani....kuwa body builder or kuwa strong.



Hebu share mim huwa girls wana work out na wanakuwa na umbo sexy kichiz
1473179180860.jpg
 
Zahahahahahahahaa daaaahh Mali unajua watu wapo gym hapa alafu umekuja kuchafua hali ya hewa.. Au wewe kimbau mbau una wivu hahahaha

Aaaaah niwaonee wivu wakina Ngabu na Bufa kwa lipi labda?
Kukaa Marekani ukubwani au?
Mimi nimekaa huko kwa mara ya kwanza Texas nina miaka 6, nas nchi kibao tu.
Nimeshuhudia SOVIET UNION ina collapse pale MOSCOW wakati mdogo sana.

Sasa nionee wivu mamisuli nimekuwa bondia au kuli mimi?
Sheeeeeeeeh, puuuuuuh.
Hebu nitake radhi brother.
 
Aaaaah niwaonee wivu wakina Ngabu na Bufa kwa lipi labda?
Kukaa Marekani ukubwani au?
Mimi nimekaa huko kwa mara ya kwanza Texas nina miaka 6, nas nchi kibao tu.
Nimeshuhudia SOVIET UNION ina collapse pale MOSCOW wakati mdogo sana.

Sasa nionee wivu mamisuli nimekuwa bondia au kuli mimi?
Sheeeeeeeeh, puuuuuuh.
Hebu nitake radhi brother.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Utaanzisha vita hapa..
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Utaanzisha vita hapa..

Hakuna hawa mafala huwa wanatutemea shiti yaani utafikiri sisi siyo watu.
Ni heri wangetutukana sisi, sasa kuwaita Watanzania Manyumbu eti kisa unachukia wana wachache hapa JF ni undezi wa hali ya juu.
For what,Motorcade ya Obama????
Sasa tutaenda hivi hivi tu, hakuna namna.

Wanachefua sana hawa jamaaa, utoto mwingiiiii.
Utadhani wao ndiyo watanzania wa kwanza kwenda huko USA.
Stupid.
 
Hakuna hawa mafala huwa wanatutemea shiti yaani utafikiri sisi siyo watu.
Ni heri wangetutukana sisi, sasa kuwaita Watanzania Manyumbu eti kisa unachukia wana wachache hapa JF ni undezi wa hali ya juu.
Sasa tutaenda hivi hivi tu, hakuna namna.
Mali Nyani sikuhizi kajirekebisha yuko poa sana hana shida [emoji58] [emoji58] [emoji58] [emoji58] [emoji58]

Ila daaah hapo kwenye mabaa ya bongo yamejaa mapaka nimecheka sana aisee
 
Mali Nyani sikuhizi kajirekebisha yuko poa sana hana shida [emoji58] [emoji58] [emoji58] [emoji58] [emoji58]

Ila daaah hapo kwenye mabaa ya bongo yamejaa mapaka nimecheka sana aisee

Mwana moja naye akaona siyo mbaya atume picha yake wanakunywa kerero.
Heeee, lijamaaa hata lilipotokea sijui , Likasema mibaa yenu michafu imejaa mapaka.
Daaah mwana alijisikia vibaya kinoma: nilikuwa najiandaa kukomenti juu ya zile chupa ila nikaishia tu kutikisa kichwa.
 
dah natamani tumbo kama la huyo dada.
Habari nzuri ni kwamba inawezekana, habari mbaya ni kwamba huwezi target bellyfat kama parts zingine za mwili.

Kitambi ni sehemu ngumu na inayohitaji nidhamu na uvumilivu wa hali juu ili kukitokomeza. Kwa kawaida mafuta ya kitambi huwa ya mwisho kabisa kupungua mwilini yani thighs, arms, chest vitakuwa in shape kabla ya kitambi kuisha. Ushauri fanya mazoezi kawaida tu kama ni cardio au weightlifting au both na kitambi kitaisha taratibu. Usijidanganye kufanya crunches bila mazoezi ukitegemea kitambi kitaisha bali fanya crunches after mazoezi mengine. Good luck
 
Back
Top Bottom