Fitness and wellness

Fitness and wellness

Nikisoma thread za watu kufanya mazoezi napata uchungu sana. Nilikuwa mtu wa mazoezi, nafanya jogging mara tatu kwa wiki, nacheza basketball mara tatu kwa wiki. Nilikuwa napiga push ups 400 kila asubuhi at least mara tatu kwa wiki. Kwa kifupi nilikuwa fit sana (sio kujazia mamisuli). Ila mchana mmoja ulibadili maisha yangu, minor accident ikanipa serious backbone damage.

Kutoka a very fit guy mpaka kuwa mtu ambae hawezi kutembea mita hamsini bila kukaa chini ni experience ngumu sana. Nashukuru Mungu nimepona kiasi kwamba naweza kufanya vitu vyote kasoro kufanya mazoezi niliyozoea kufanya. Na kwa uwezo wa Mungu natumaini siku moja nitarudi kama zamani.
Kweli katika magumu tunamwona Mungu. Me nipo nani huyu tena anapiga Injili, kumbe ni msukuma!!! Kweli Mungu ni mkuu sana, atakurejeshea tu upya afya yako.
 
Nikisoma thread za watu kufanya mazoezi napata uchungu sana. Nilikuwa mtu wa mazoezi, nafanya jogging mara tatu kwa wiki, nacheza basketball mara tatu kwa wiki. Nilikuwa napiga push ups 400 kila asubuhi at least mara tatu kwa wiki. Kwa kifupi nilikuwa fit sana (sio kujazia mamisuli). Ila mchana mmoja ulibadili maisha yangu, minor accident ikanipa serious backbone damage.

Kutoka a very fit guy mpaka kuwa mtu ambae hawezi kutembea mita hamsini bila kukaa chini ni experience ngumu sana. Nashukuru Mungu nimepona kiasi kwamba naweza kufanya vitu vyote kasoro kufanya mazoezi niliyozoea kufanya. Na kwa uwezo wa Mungu natumaini siku moja nitarudi kama zamani.
Pole sana mpendwa, Mungu atakurudisha tu katika hali ya zamani.
 
Ongeza calisthenics exercises kwenye workout routine yako kama push ups, squats, dips, crunches, pull ups, plunges and planks. Anza haya kabla ya kufanya cardio

Kwenye cardio tumia HIIT method (High intensity interval training) yani fanya cardio kwa intensity yako ya juu halafu pumzika Kidogo then rudia.

Naamini unazingatia diet maana mazoezi bila diet ni kazi bure. Good luck Mkuu
squarts zinasaidia nn mkuu??
 
Ongeza calisthenics exercises kwenye workout routine yako kama push ups, squats, dips, crunches, pull ups, plunges and planks. Anza haya kabla ya kufanya cardio

Kwenye cardio tumia HIIT method (High intensity interval training) yani fanya cardio kwa intensity yako ya juu halafu pumzika Kidogo then rudia.

Naamini unazingatia diet maana mazoezi bila diet ni kazi bure. Good luck Mkuu
Push ups hapana aisee imenishinda, japo sit ups,crunches,squart nk nafanya.
Nashukuru nitazingatia.

Diet muhimu, nazingatia hilo mnooo hata nisipofanya mazoezi.
 
Push ups hapana aisee imenishinda, japo sit ups,crunches,squart nk nafanya.
Nashukuru nitazingatia.
Push ups ni ngumu mwanzoni ila ni bonge ya zoezi nakusihi usiache kujaribu. Anza taratibu kwa kufanya assisted push ups mikono ikizoea ndiyo ujaribu push up kamili. Push ups na pull ups ni best exercises.
1474443983909.png
 
Mtu ukitaka kufanya Push up kwa kujiweka Mwili Mzuri kiafya hasa kwa tuliosogea umri bila ya kutanua au kuvimbisha kifua inawezekana kweli? I like Push up inachokera ni kule kuongeza kifua ukubwa wake na kututumua Manyonyo!
 
squarts zinasaidia nn mkuu??
Kama mchoro unavyoonyesha squats hutarget quads/thigh na butt. Kwa wanawake wanaotaka kuwa na sexy butt hawana budi kufanya squats, kwa wanaume hasa athletes kama mimi mcheza soka squats hujenga na kuongeza nguvu za miguu.

1474444259124.png
 
Mtu ukitaka kufanya Push up kwa kujiweka Mwili Mzuri kiafya hasa kwa tuliosogea umri bila ya kutanua au kuvimbisha kifua inawezekana kweli? I like Push up inachokera ni kule kuongeza kifua ukubwa wake na kututumua Manyonyo!
Inawezekana boss ila ningeshauri ufanye pull ups na dips zaidi kuliko push ups kama hutaki kifua kitanuke. Aidha fanya push ups kwa uchache na weka narrow grip ili Target yako iwe mikono badala ya kifua.
 
Inawezekana boss ila ningeshauri ufanye pull ups na dips zaidi kuliko push ups kama hutaki kifua kitanuke. Aidha fanya push ups kwa uchache na weka narrow grip ili Target yako iwe mikono badala ya kifua.

Nashukuru nita google zaidi kuelewa aina hizo za push up
 
Kama mchoro unavyoonyesha squats hutarget quads/thigh na butt. Kwa wanawake wanaotaka kuwa na sexy butt hawana budi kufanya squats, kwa wanaume hasa athletes kama mimi mcheza soka squats hujenga na kuongeza nguvu za miguu.

View attachment 404153

Nimesoma sehemu kuwa hizo squats zinasababisha Matatizo ya Joints ukiwa unafanya frequently
 
Hongera mkuu kwa kuleta mada nzuri ambayo itatusaidia kwa wavivu wa mazoezi
 
Nimesoma sehemu kuwa hizo squats zinasababisha Matatizo ya Joints ukiwa unafanya frequently
Mazoezi kama kitu kingine chochote yana side effects zake kama hutofanya kwa usahihi au kama utafanya kwa kutozingatia limitations zako.

Kwa watu wenye matatizo ya joints/knee/back hawapaswi kufanya au wakifanya wasiweke uzito mkubwa ili wasiongeze tatizo. Vivyo hivyo push ups kama una bad shoulder inabidi ujue jinsi ya kufanya around it au usifanye kabisa ili usiongeze tatizo. Cha msingi ni kujua na kuzingatia uwezo na limitations zako

Huwa nasema Listen to your body.
 
Nafanya cardio nilianza kidogo kidogo, yesterday I was able to run 5kms in 30 minutes.
 
Back
Top Bottom