Quarterpin
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,253
- 1,083
Halafu atoe inflation 6.6% kama itabaki kuwa hiyo hiyo kwa mwaka.Benki inayotoa Riba nzuri ktk Fixed Account ni Exim bank (8%)
CRDB bank 7.5%
Lakini benki nzuri ni Exim bank
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu atoe inflation 6.6% kama itabaki kuwa hiyo hiyo kwa mwaka.Benki inayotoa Riba nzuri ktk Fixed Account ni Exim bank (8%)
CRDB bank 7.5%
Lakini benki nzuri ni Exim bank
Huwa wanadeduct kumbe,...ikitokea inflation ikawa kubwa zaidi ya interest?Halafu atoe inflation 6.6% kama itabaki kuwa hiyo hiyo kwa mwaka.
Kwa wenzetu wenye pesa ya Ukweli wanapata faida mfano umeweka Mil 50
Kwa mwaka unapata faida ya Mil 4.
Asisahau na kutoa tax charges wakati anapokea faida yake.Halafu atoe inflation 6.6% kama itabaki kuwa hiyo hiyo kwa mwaka.
Inflation haiwi deducted isipokuwa fedha uliyoipata unakuta imepungua thamani kwa hiyo rate ya inflation, sema point kubwa pia inategemea ni bidhaa gani ambazo zimeathiriwa sana na inflation.Huwa wanadeduct kumbe,...ikitokea inflation ikawa kubwa zaidi ya interest?
Yah,but kwa wengine hzi account ni atimize tu lengo flan,Kuna baadhu ya vitu bei huwaga hazibadiliki kiiviInflation haiwi deducted isipokuwa fedha uliyoipata unakuta imepungua thamani kwa hiyo rate ya inflation, sema point kubwa pia inategemea ni bidhaa gani ambazo zimeathiriwa sana na inflation.
Wapendwa I have a certain sum of money ambayo sitarajii kuitumia soon na nimefikiria kufungua fixed account niweke angalau kwa mwaka mmoja ila sijawahi fungua hiyo account before kwa hiyo kwa wale wanaojua rate of interest ya fixed account especially kwa crdb wanieleze tafadhali
Wapendwa I have a certain sum of money ambayo sitarajii kuitumia soon na nimefikiria kufungua fixed account niweke angalau kwa mwaka mmoja ila sijawahi fungua hiyo account before kwa hiyo kwa wale wanaojua rate of interest ya fixed account especially kwa crdb wanieleze tafadhali
Mwenye assets?!!! Ufafanuzi pleaseCrdb bank wanatoa Interest (Riba) ya 7.5% Kwa mwaka. Kama una cash usiogope lolote nenda bank weka mzigo akuna vikwazo vyovyote baada ya siku 365 unapata faida yako bila shida yoyote mwenye fedha na assets wewe ni mfalme kwao
milioni 4 kwa mwaka? Hiyo milioni 50 ukinunua coaster hiyo milion 4 unaipata kwa mweziKwa wenzetu wenye pesa ya Ukweli wanapata faida mfano umeweka Mil 50
Kwa mwaka unapata faida ya Mil 4.