FL1 -Sorry kama nitakukwaza !


Ebana eeeh mbona umekuwa mkali hivyo kama mbogo? Wewe ndiye mwenye mali nini? Lol.....manake ni wewe uliyeleta habari za FL1 kufiwa na rafiki yake....halafu umenigongea senki pale niliposema I love FL1....things that make me go hmmmmm....
 
Ebana eeeh mbona umekuwa mkali hivyo kama mbogo? Wewe ndiye mwenye mali nini? Lol.....manake ni wewe uliyeleta habari za FL1 kufiwa na rafiki yake....halafu umenigongea senki pale niliposema I love FL1....things that make me go hmmmmm....

Heheeeeeeeeeeee....Si umeisoma sentensi ya mwisho ya MMK lakini;


'FL1 ukiona wanazidi kukukwaza just let me no.. nitamuomba ruhusa bi mkubwa hapa kama naweza kuwa of help.'
 
Heheeeeeeeeeeee....Si umeisoma sentensi ya mwisho ya MMK lakini;


FL1 ukiona wanazidi kukukwaza just let me no.. nitamuomba ruhusa bi mkubwa hapa kama naweza kuwa of help.

Nakwambia wee acha tu jamaa naona kavumilia hadi kashindwa...Lol....sijui mimi kusema I love FL1 ndio kumekuwa last straw....
 
Ebana eeeh mbona umekuwa mkali hivyo kama mbogo? Wewe ndiye mwenye mali nini? Lol.....manake ni wewe uliyeleta habari za FL1 kufiwa na rafiki yake....halafu umenigongea senki pale niliposema I love FL1....things that make me go hmmmmm....

noooo.. mbona hunitakii mema wewe..!! let me put it this way.. " I have vested interest" katika yale yanayomtokea.. (inawezekana ni damu moja na shemeji yenu mkubwa hapa"..
 
Kha shosti waambie zitawabana sana...lol. Ndo mambo ya mujini hayo.
 
Ebana eeeh mbona umekuwa mkali hivyo kama mbogo? Wewe ndiye mwenye mali nini? Lol.....manake ni wewe uliyeleta habari za FL1 kufiwa na rafiki yake....halafu umenigongea senki pale niliposema I love FL1....things that make me go hmmmmm....

noooo.. mbona hunitakii mema wewe..!! let me put it this way.. " I have vested interest" katika yale yanayomtokea.. (inawezekana ni damu moja na shemeji yenu mkubwa hapa"..

Tehe teh....haya bana
 
noooo.. mbona hunitakii mema wewe..!! let me put it this way.. " I have vested interest" katika yale yanayomtokea.. (inawezekana ni damu moja na shemeji yenu mkubwa hapa"..

Haya bana ngoja nimwache....nisije nikakuharibia zaidi maana kunyimwa "chakula" si mchezo....na kama FL1 yuko karibu na shemeji yetu basi what affects FL1 affects our shemeji too.....
 
Haya bana ngoja nimwache....nisije nikakuharibia zaidi maana kunyimwa "chakula" si mchezo....na kama FL1 yuko karibu na shemeji yetu basi what affects FL1 affects our shemeji too.....

si utani aisee.. yaani ndio maana nimetumia haki ya kifamilia kumpiga marufuku for the rest of the day (kwa niaba ya mme mwenzangu kule).. mambo ya kuitwa kwenda kusuluhisha nyumba za watu kwa kweli siwezi.. especially katika mazingira ya mtu kutangaza "love' hadharani namna hii..
 

He he heeeeeeee.FL1 ni mke wa Mwanakijiji oh no natania tu!
 
kuna watu hamnitakii mema kabisa nyie Geoff ameongea weee hamjamsema ,Fidel80 ndo kabisa mpaka amekata na rufaa,Bht ndo kashikiria sredi yote hamjasema hahaha husb wangu katulia tuli
 
Yesterday, 02:46 PM
Ama

Ama is so erratic to endure
Senior Member
Join Date: Fri Jan 2010
Posts: 228
Thanks: 138
Thanked 145 Times in 92 Posts
Rep Power: 21



Re: FL1 -Sorry kama nitakukwaza !!!!!

Quote:


Hivi siku hizi JF kuna nini? samahani kama nimewakwaza LOL




Zama za dataz zimeisha maskini, upambanaji, upiganaji, kuweka maslahi ya Taifa etc kumeenda arijojo.

Wenye low IQ ndio wanapenda sana kuongelea mapenzi.

Samahani kama nimewakwaza!
__________________
If you do me, I do you.
You rub ma back, I rub yours.
 

hujatukwaza striker...mechi vipi?....samahani wengine kama nitakuwa nimewakwaza
 
hujatukwaza striker...mechi vipi?....samahani wengine kama nitakuwa nimewakwaza

kwenye msafara wa mamba na kenge wapo lakini safari inaendelea Preta
samahani kama nimewakazwa .......
wazima mabinamu?
 
kwenye msafara wa mamba na kenge wapo lakini safari inaendelea Preta
samahani kama nimewakazwa .......
wazima mabinamu?

leo naona mabinamu bado wamelala...mpaka saa hii siwaoni ngoja tuwasubiri
ninaowakwanza mnisamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…