Member hao ni pamoja na mimi, saa ngapi nimetuma mimi? naona anauliza kwa niaba yake mwenyewe.,aaah umenikwaza bana Kaitaba!!!
tunachangia kwa kuwa pia amesema anauliza kwa niaba ya JF MEMBERS....EBOO!!!!
samahani kama nimekukwaza mkuu
Hehehehe! Alafu unaniita mi chief editor! Stuka mamushka!samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......
debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!
Mmmh! Hapo kwenye red nimekwazika! 🙂
namshangaa huku sijui kafuata nini...huyu kanikwaza......halafu wewe
Member hao ni pamoja na mimi, saa ngapi nimetuma mimi? naona anauliza kwa niaba yake mwenyewe.,
Hehehehe! Alafu unaniita mi chief editor! Stuka mamushka!
aaaaah si ana deal nae hapa hapa tu,siyo kwenye sita kwa sita. Naomba msamehe kama amekukwaza.Yaani unataka kudeal na wife wangu afu nikuache siyo?
Hapa kwa kweli umenikwaza. Niombe samahani.
Am counting 5.........4............3.........
Unakimbilia wapi?am off ..kesho kina kaka na kina dada
Kiongozi tuwahi za baridi tumalize nuksi ya leoMbona KAKIMBIA! 🙂
Hehehehe si waswahili wanasema nyani haoni................
FirstLady1, Akili Unazo!, bht, Bigirita, Dreamliner, Egyps-women, Enny, Kaitaba, Kyachakiche, Laligeni, Lily Flower, Masaki, mayenga, mchumileo, N-handsome, nyati, Shishi, tall, vivian, WomanOfSubstance
Wote mnataka majibu ??????????????????????????????
FirstLady1, Akili Unazo!, bht, Bigirita, Dreamliner, Egyps-women, Enny, Kaitaba, Kyachakiche, Laligeni, Lily Flower, Masaki, mayenga, mchumileo, N-handsome, nyati, Shishi, tall, vivian, WomanOfSubstance
Wote mnataka majibu ??????????????????????????????
samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......
debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!
Hakafu kama ana IQ kubwa si aende akaombe kazi NASA(!?) Au mwenzetu kujadili umeme kupita au kutopita mbele ya Kanisa la Kakobe ndio kuwa na IQ kubwa?
kuna dhambi tukijua?FirstLady1, Akili Unazo!, bht, Bigirita, Dreamliner, Egyps-women, Enny, Kaitaba, Kyachakiche, Laligeni, Lily Flower, Masaki, mayenga, mchumileo, N-handsome, nyati, Shishi, tall, vivian, WomanOfSubstance
Wote mnataka majibu ??????????????????????????????
tena!!!! but why am just his mamushka!!!??
samahani kama amekukwaza!!!!
ha ha...jana uliniacha katika mazingira ya kutatanisha....hivi ulimaliza ile konyagi?...
mi siyataki tena nilishasusa, mtu ungoja ugali weeeee hadi njaa inakufa.Pigeni vigele gele jamani, kaja sasa kutoa majibu! Naona mpka WOS ndani ya nyumba anasubiri majibu! 🙂
Nadhani sasa umeshtuka mamushka. Ntakukaribisha kwenye chuo chetu nawe uwe editor.Ni kama hivi mamushka wangu. Mi Sipendi majitu ya jukwaa la mahusiano. Majinga kweli kweli. Badala yaongelee siasa yenyewe umbea tuuuu.