FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

aaah umenikwaza bana Kaitaba!!!

tunachangia kwa kuwa pia amesema anauliza kwa niaba ya JF MEMBERS....EBOO!!!!

samahani kama nimekukwaza mkuu
Member hao ni pamoja na mimi, saa ngapi nimetuma mimi? naona anauliza kwa niaba yake mwenyewe.,
 
samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......

debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!
Hehehehe! Alafu unaniita mi chief editor! Stuka mamushka!
 
Member hao ni pamoja na mimi, saa ngapi nimetuma mimi? naona anauliza kwa niaba yake mwenyewe.,

hahaa Kaitaba mkubwa wangu hebu achana na hiyo kitu bana tuendeleee mbele

hope hujakwazika!!!!
 
tunajadili namna ya kumuangamiza huyo mwanamama!tupo chemba kidogo.....!endeleen kusubiri.huenda tukazitoa senksi zetu mbili tulizompa pia😀
 
Yaani unataka kudeal na wife wangu afu nikuache siyo?

Hapa kwa kweli umenikwaza. Niombe samahani.

Am counting 5.........4............3.........
aaaaah si ana deal nae hapa hapa tu,siyo kwenye sita kwa sita. Naomba msamehe kama amekukwaza.
 
am off ..kesho kina kaka na kina dada
Unakimbilia wapi?

Mbona KAKIMBIA! 🙂
icon10.gif
Kiongozi tuwahi za baridi tumalize nuksi ya leo
 
samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......

debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!

Yupo page ya pili huyo anaitwa Ama anajiona ana IQ kubwa.

Hakafu kama ana IQ kubwa si aende akaombe kazi NASA(!?) Au mwenzetu kujadili umeme kupita au kutopita mbele ya Kanisa la Kakobe ndio kuwa na IQ kubwa?

Unajua watu wamechoka na siasa bana kila kukicha ni hayo hayo mambo hayatekelezeki ngoja tujiliwaze huku na kujipanga upya. Mwaache na IQ kubwa yake ya kumjadili RA kaiba mara hajaiba mara fisadi mara si fisadi wkt yeye anakula na kulala wao wanaumia humu.
 
ha ha...jana uliniacha katika mazingira ya kutatanisha....hivi ulimaliza ile konyagi?...

Ha ha ha mziki wa jana ulikuwa si n'chezo alafu nilikuwa na maralia kiaaina nilivyo maliza mizinga 2 mikubwa huku nikiangalia game la Man U nimeamka asubuhi mwepesi saizi naenda kukupiga mchangani nina game taiti leo.
 
Aliyeuliza swali kaingia mitini, wengine tunaendelea kuulizana nini tena?
 
Pigeni vigele gele jamani, kaja sasa kutoa majibu! Naona mpka WOS ndani ya nyumba anasubiri majibu! 🙂
icon10.gif
mi siyataki tena nilishasusa, mtu ungoja ugali weeeee hadi njaa inakufa.
 
Ni kama hivi mamushka wangu. Mi Sipendi majitu ya jukwaa la mahusiano. Majinga kweli kweli. Badala yaongelee siasa yenyewe umbea tuuuu.
Nadhani sasa umeshtuka mamushka. Ntakukaribisha kwenye chuo chetu nawe uwe editor.
 
Back
Top Bottom