Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 161
Sidhani kama unazo!Currently Active Users Viewing This Thread: 59 (30 members and 29 guests)
CarthbertL, Akili Unazo!, Ama, Balantanda, bht, Bigirita, carmel, Dreamliner, Enny, FirstLady1, Isskia, Kaitaba, Kyachakiche, Laligeni, Lily Flower, manuu, Maria Roza, Masaki, mayenga, mchumileo, Mtu Kwao, nyati, Shishi, tall, vivian
H e cannot even identify himself hapa.....sijui kafata nini!! Siasa si hobi ya kila mtu humu na taifa hili halijengwi kwa siasa tu.......aende akaendelee kuwapigia wananchi blablah as for some of us here tumechoka, we do the real things.......(lazima umenisoma hapa)Hakafu kama ana IQ kubwa si aende akaombe kazi NASA(!?) Au mwenzetu kujadili umeme kupita au kutopita mbele ya Kanisa la Kakobe ndio kuwa na IQ kubwa?
wakwetu kwa kiwango cha hasira ulichonacho msamehe bure ameshachoka huyo
FirstLady1, Akili Unazo!, bht, Bigirita, Dreamliner, Egyps-women, Enny, Kaitaba, Kyachakiche, Laligeni, Lily Flower, Masaki, mayenga, mchumileo, N-handsome, nyati, Shishi, tall, vivian, WomanOfSubstance
Wote mnataka majibu ??????????????????????????????
Ha ha ha mziki wa jana ulikuwa si n'chezo alafu nilikuwa na maralia kiaaina nilivyo maliza mizinga 2 mikubwa huku nikiangalia game la Man U nimeamka asubuhi mwepesi saizi naenda kukupiga mchangani nina game taiti leo.
Yupo page ya pili huyo anaitwa Ama anajiona ana IQ kubwa.
Unajua watu wamechoka na siasa bana kila kukicha ni hayo hayo mambo hayatekelezeki ngoja tujiliwaze huku na kujipanga upya. Mwaache na IQ kubwa yake ya kumjadili RA kaiba mara hajaiba mara fisadi mara si fisadi wkt yeye anakula na kulala wao wanaumia humu.
Misamiati mipya hiyo, si unajua tena kwenye Kiswahili Fasaha mimi ni kilaza! π
To be honest nimekosa cha kumjibu huyu Egyps-women, ?
Mimi nijuavyo mwenye IQ kubwa ni moderator wa JF ambaye alimeweka majukwaa mengi halafu membaz wenyewe watajichuja kulingana na wanayotaka kujadili na kusoma! Ukiona jukwaa fulani linaboa hamia jingine ambako utaona panakufaa! Sio kusema watu wana IQ ndogo wakati wala huwafahamu!
Ndio maana kuna hata jukwaa la mambo ya kikubwa!Everything under one roof!
Ndio maana kuna hata jukwaa la mambo ya kikubwa!Everything under one roof!
To be honest nimekosa cha kumjibu huyu Egyps-women, ?
Pigeni vigele gele jamani, kaja sasa kutoa majibu! Naona mpka WOS ndani ya nyumba anasubiri majibu! π
H e cannot even identify himself hapa.....sijui kafata nini!! Siasa si hobi ya kila mtu humu na taifa hili halijengwi kwa siasa tu.......aende akaendelee kuwapigia wananchi blablah as for some of us here tumechoka, we do the real things.......(lazima umenisoma hapa)
kanichafulia siku yangu......ya kwake ya high IQ yako wapi......who told that 'whoever' to poke his/her nose in here, kwa watu 'wenye akili ndogo'
akili unazo ndugu!Nilichojifunza FL1 na mtoa mada they know each other na ndo maana mtoa maada amekuja specifically na hataki mtu mwingine amjibie ila yeye mwenye kwa hiyo tunaweza jua mengi yaliyo njee ya hii mada.
If you go deeper unaweza jua kuwa huyu mtoa mada anamjuaa/kama siyo kumfahamu FL1 ndo maana anataka alinganishe ayasemayo hapa JF na matendo yake halisia na ndo maana amesitick kutaka kupewa majibu kwa maana nyingi s/he was objective na anachokitaka.
BHT umekuwa unamjibu kwa jaziba kweli na nikumbuka sredi ya Pearl leo kweli unaweza kuwa mkatili,unayebeba mzigo wa mwenzio hata kama hujaombwa,unayemhukumu mtu hata kabla hajahukumia,mfukunyuzi n.k
Sometimes usipo zidisha huwa unamwaga mapoint wewee, vp Ubunge jimbo la Kawe haukufai?
Nilichojifunza FL1 na mtoa mada they know each other na ndo maana mtoa maada amekuja specifically na hataki mtu mwingine amjibie ila yeye mwenye kwa hiyo tunaweza jua mengi yaliyo njee ya hii mada.
If you go deeper unaweza jua kuwa huyu mtoa mada anamjuaa/kama siyo kumfahamu FL1 ndo maana anataka alinganishe ayasemayo hapa JF na matendo yake halisia na ndo maana amesitick kutaka kupewa majibu kwa maana nyingi s/he was objective na anachokitaka.
BHT umekuwa unamjibu kwa jaziba kweli na nikumbuka sredi ya Pearl leo kweli unaweza kuwa mkatili,unayebeba mzigo wa mwenzio hata kama hujaombwa,unayemhukumu mtu hata kabla hajahukumia,mfukunyuzi n.k
Masaki status yangu iko vere simple sijawahi kuficha kwa mtu anayeniuliza ..Na hiyo Topic anayosema inajieleza niconfirm nn tena mie ππ
na wewe unataka kujua????????????