FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

What's going on here?

mambo ya ngoswe ndugu ...hili jukwaa lina vituko sana. Watu waanziaga chemba (chumbani) kwanza halafu ndo wanaingia huku sebuleni ... ukiona hivyo we kaa kimya tu!! Jambo usilolijua ...!!
 
one can tell jus by reading your writing.....hahaaaaa
(bt am not imagining the rest though....teh teh)

I had a very good night though...you can just imagine me being me....you know I put it down like no other....
 
Nilipokuwa college mwl wangu alisema UKIMYA NI KIPIMO CHA BUSARA YA MTU....ni sahihi kabsaaa..ndo maana hata mzee nkapa alipoamua kuongea alisema NAMWACHIA MUNGU....nami huwa nasema SIJIBU UPUUZI....leo dada yangu umekaza mwanzo mwisho mpaka jamaa kala kona maana haelewi ajipime vipi ama ni MPUUZI, ama UMEMWACHIA MUNGU etec...kaaaazi kwelikweli...ni maoni tuuu

thanx my dear wajua sikujua huyu katokea wapi na anataka nn !!!!!
Yote namwachia mungu!!
 
I had a very good night though...you can just imagine me being me....you know I put it down like no other....

heheeee thats my shemeji...hapo kwa red....

am still counting the days.......
 
mambo ya ngoswe ndugu ...hili jukwaa lina vituko sana. Watu waanziaga chemba (chumbani) kwamba halafu ndo wanaingia huku sebuleni ... ukiona hivyo we kaa kimya tu!! Jambo usilolijua ...!!

dah respect mkuu!!!
 
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....

Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)

I love you FL1
**********

EW kuanzia leo naahidi kujibu PM zako bila kukosa naona mambo ya room sasa yameanza kuamia sebuleni
 
Nimemuelewa sana huyo Mtu.. Wala hana tatizo kabisa. Anampenda FL1 wetu kwa nia nzuri tu. Unajua hata mimi ninaweza kumpenda kwa nia nzuri mwenzangu na kupenda awe rafiki yangu wa kawaida. Yaani nitajisikia sana nikiwa ni rafiki wa fulani au namfahamu fulani.. Mama nakusihi mjibu kwenye PM pls.

SAMAHANI KAMA NIMEWAKWAZA!!!
 
Wapendwa hii Topic kila ninavyozidi kuisoma ndo siielewi kabisa ... thanx god mtoa sredi kaomba samahani
 
thanx my dear wajua sikujua huyu katokea wapi na anataka nn !!!!!
Yote namwachia mungu!!

kwa kuwa wengi hatujui alichoku-PM EW,
na kwa vile wengi pia wame / tume kwazika,
na ukizingatia pia JF hairuhusu kuanika mambo mliyoongelea chumbani (binafsi sifafurahia kabisa hiki kitendo),
nashawishika kukupa POLE mamushka!

piga moyo konde kwa kuwa wewe bado ni FL1 wa ukweli humu ndani!! (bht, WoS, xpin, Geoff na fide80 naomba thenksi zangu pls!!) 🙂
 
Nimemuelewa sana huyo Mtu.. Wala hana tatizo kabisa. Anampenda FL1 wetu kwa nia nzuri tu. Unajua hata mimi ninaweza kumpenda kwa nia nzuri mwenzangu na kupenda awe rafiki yangu wa kawaida. Yaani nitajisikia sana nikiwa ni rafiki wa fulani au namfahamu fulani.. Mama nakusihi mjibu kwenye PM pls.

SAMAHANI KAMA NIMEWAKWAZA!!!


Thanx Dreamliner nimeahidi kumjibu PM zote atakazotuma mradi tu zisivuke mipaka 😉
 
kwa kuwa wengi hatujui alichoku-PM EW,
na kwa vile wengi pia wame / tume kwazika,
na ukizingatia pia JF hairuhusu kuanika mambo mliyoongelea chumbani (binafsi sifafurahia kabisa hiki kitendo),
nashawishika kukupa POLE mamushka!

piga moyo konde kwa kuwa wewe bado ni FL1 wa ukweli humu ndani!! (bht, WoS, xpin, Geoff na fide80 naomba thenksi zangu pls!!) 🙂

japo hujaniomba ngoja nikupe THANKS!
 
acha uvivu bht ... bonyeza kitufe basi .... 🙂

sina mazoea n hii kitu ujue.....mnanilaumu bure tu jamani......nimegonga pale ulipodai kwa nguvu na kabla y ahapo pia nimekugondea.....na hapa tena??? aaah zimeisha store ngoj aniweke order kwa invisible ani-supply!!
 
Back
Top Bottom