sir venance
Senior Member
- Oct 26, 2017
- 151
- 223
Wizkid nasikia atafunga tamasha dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka lipelekwe wapi mende wewe nani kasema mtwara hakuna wapenda burudani msiieeewTamasha kubwa kama hilo unapelekaje porini huko...Wasafi na wao ni vichwa maji
Kijiji gani unaongelea wewe ......hivi unadhani huko kwenu rukwa ni sawa na mtwara eeeh???Mkuu huko vijijini hali ni mbaya hakuna hata wa kumkopa. Watapata wateja waliopata mishahara mwisho wa mwezi ila sio hao wakulima..
Alafu sister una chuki sana na vijana Wa WCB nimekufatilia kwa mda mrefu nimeliona hilo sikia nikwambie sister mziki ni kazi na ni ajira mziki umeajir vijana wengi sana ambao kwa sasa nahisi wangekuwa vibaka tu. Mziki ndo kimbilio letu sisi vijana ambao hatujasoma. Kwa hiyo tunahitaji Mapinduz katika music ili wasanii tunufaike na vipaji vyetu hatutaki unyonyaji kwenye music tunataka haki
Diamond amemua kuitafuta haki, kupitia diomond kuna watu wanaishi wanakula na kusaza kwahiyo acha chuki Dada yangu. Kesho mtwara kuna vijana wenzetu wanaenda kupiga hela kupitia mgongo Wa hao vijana Wa WCB.
Mungu hapend chuki biblia inasema mwenye chuki huumia moyo sana. Kwahiyo acha chuki kwa binadam wenzako
Wasafi festival haipo kwa bahati mbaya.
LONDON BOY, BLACK ENGLAND
huyo mwanamke achana naye stress za ugumba zinamsumbua mkuuAlafu sister una chuki sana na vijana Wa WCB nimekufatilia kwa mda mrefu nimeliona hilo sikia nikwambie sister mziki ni kazi na ni ajira mziki umeajir vijana wengi sana ambao kwa sasa nahisi wangekuwa vibaka tu. Mziki ndo kimbilio letu sisi vijana ambao hatujasoma. Kwa hiyo tunahitaji Mapinduz katika music ili wasanii tunufaike na vipaji vyetu hatutaki unyonyaji kwenye music tunataka haki
Diamond amemua kuitafuta haki, kupitia diomond kuna watu wanaishi wanakula na kusaza kwahiyo acha chuki Dada yangu. Kesho mtwara kuna vijana wenzetu wanaenda kupiga hela kupitia mgongo Wa hao vijana Wa WCB.
Mungu hapend chuki biblia inasema mwenye chuki huumia moyo sana. Kwahiyo acha chuki kwa binadam wenzako
Wasafi festival haipo kwa bahati mbaya.
LONDON BOY, BLACK ENGLAND
Kuna member kasema una stress za ugumba ni kweli?Halafu kijana una shobo sana. Kwa hio unataka kunipangia cha kukoment? Pasuka sasa na bado ntazionyesha hizo chuki uzisemazo.
Ikikuuma kula doko
Uwe na lugha ya kujiheshimu, please tunakuomba wanaMtwaraTamasha kubwa kama hilo unapelekaje porini huko...Wasafi na wao ni vichwa maji
Kuna member kasema una stress za ugumba ni kweli?
Tatizo lako we ni mwanamke....!!!Ulitaka lipelekwe wapi mende wewe nani kasema mtwara hakuna wapenda burudani msiieeew
kibaraka wa soudy brown ww tumeshakujuaHalafu kijana una shobo sana. Kwa hio unataka kunipangia cha kukoment? Pasuka sasa na bado ntazionyesha hizo chuki uzisemazo.
Ikikuuma kula doko
Tamasha kubwa kama hilo unapelekaje porini huko...Wasafi na wao ni vichwa maji
Wewe ni Dada Yangu siwez kupanik juu yako nilikuwa nakuelekeza tu mpendwa wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naona umepanic
Inasemekana ni malindalessHapendi kuvaa mashati huyu jamaa!
Huyu ndio Mpoto wa Naija tofauti anavaa viatu ila sio mashati na fulana.
Wewe ni Dada Yangu siwez kupanik juu yako nilikuwa nakuelekeza tu mpendwa wangu
Mi sitak utingishike Mimi nataka uache roho mbaya. Sawa sisterHayo maelekezo/kashfa yatunze mie wala sitingishiki
kibaraka wa soudy brown ww tumeshakujua
Na badoMi sitak utingishike Mimi nataka uache roho mbaya. Sawa sister
Utaumia moyo sana nakuonea huruma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado
Utaumia moyo sana nakuonea huruma.
Kwani wewe ni msakin sana yaan fukara Wa kutupwa au? Maana Masikin ndo huwaga wana roho mbaya sana