Alafu sister una chuki sana na vijana Wa WCB nimekufatilia kwa mda mrefu nimeliona hilo sikia nikwambie sister mziki ni kazi na ni ajira mziki umeajir vijana wengi sana ambao kwa sasa nahisi wangekuwa vibaka tu. Mziki ndo kimbilio letu sisi vijana ambao hatujasoma. Kwa hiyo tunahitaji Mapinduz katika music ili wasanii tunufaike na vipaji vyetu hatutaki unyonyaji kwenye music tunataka haki
Diamond amemua kuitafuta haki, kupitia diomond kuna watu wanaishi wanakula na kusaza kwahiyo acha chuki Dada yangu. Kesho mtwara kuna vijana wenzetu wanaenda kupiga hela kupitia mgongo Wa hao vijana Wa WCB.
Mungu hapend chuki biblia inasema mwenye chuki huumia moyo sana. Kwahiyo acha chuki kwa binadam wenzako
Wasafi festival haipo kwa bahati mbaya.
LONDON BOY, BLACK ENGLAND