FLIGHT 370: Kupatikana kwa ndege ya abiria ya shirika la Malaysia - Inawezekana?

FLIGHT 370: Kupatikana kwa ndege ya abiria ya shirika la Malaysia - Inawezekana?

Kuna mambo mengi juu ya kutoweka kwa ndege hii Tuzidi kusikiliza
 
Safiiiiiii Invisible Hii ina deserve kuwa Sticky thread please please ifanyie haki. Asante sana sana kwa uchambuzi murua
 
Last edited by a moderator:
Usikute watu (wataalamu) wamevumbua kifaa/technologia mpya ya kuficha ndege, na hapo wapo ktk kujaribu!
 
Theory zimekuwa nyingi, sasa nangoja theory ya "aliens" na UFO zao kuhusika.

Baadhi ya web wameshaanza theory za aliens na UFO search cabal utakuta maelezo na posibility ya hiyo ndege kutoonekana tena mpaka siku viongozi wa dunia wakitutangazia kuwepo kwa aliens
 
Liganga ni muongo.

Kichwa cha habari na utumbo wa habari vitu tofauti. Wewe itakuwa ni kanjanja wa magazeti ya udaku.

Kichwa cha habari umetufanya tufikiri kuwa ndege imepatikana kumbe ni uongo na theory tupu ulizozijaza kwenye utumbo wa habari.

Tukisema Mitanzania iliyo mingi ni miongo yakutupa mnakasirika.

Moderator wa hili jukwaa tutendee haki kwa kubadili kichwa cha habari kiendane na utumbo ulioandikwa.

Fikiri kama kuna msomaji ana ahli zake humo kwenye hiyo ndege, dissapointment atayoipata baada ya kuusoma huu utumbo wa Liganga.
 
Last edited by a moderator:
hata mimi nakubali kua wahandisi wame hack system za ndege otherwise wasingelifanikiwa lakini na majeshi pia wanastahiki kulaumiwa, walikua wanaona mawasiliano yanaenda ndivo sivo kwa nini hawakutoa taarifa mapema
 
Safiiiiiii Invisible Hii ina deserve kuwa Sticky thread please please ifanyie haki. Asante sana sana kwa uchambuzi murua

Kichwa cha habari hususan neno "kupatikana" linadanganya na limetufanya tuisome habari mbio mbio na afanaaleik kufa hakuna break, tukakuta utumbo ni tofauti na matarajio ya "kupatikana" kiukweli kwa ndege hiyo.

Hapa tuliopatikana ni sisi na si ndege iliyopotea.

Sioni kwanini uone uongo kuwa unafaa kuwekwa kwenye sticky. Labda kichwa cha habari kibadilishwe na kuwa "kutopatikana"...
 
Last edited by a moderator:
Liganga ni muongo.

Kichwa cha habari na utumbo wa habari vitu tofauti. Wewe itakuwa ni kanjanja wa magazeti ya udaku.

Kichwa cha habari umetufanya tufikiri kuwa ndege imepatikana kumbe ni uongo na theory tupu ulizozijaza kwenye utumbo wa habari.

Tukisema Mitanzania iliyo mingi ni miongo yakutupa mnakasirika.
Moderator wa hili jukwaa tutendee haki kwa kubadili kicha cha habari kiendane na utumbo ulioandikwa.

Fikiri kama kuna msomaji ana ahli zake humo kwenye hiyo ndege, dissapointment atayoipata baada ya kuusoma huu utumbo wa Liganga.

Mbona unatoa povu hvyo kwani kakushika wapi.
 
Last edited by a moderator:
This should be marked as a thread of the mounth. Mods napendekeza hii iwe sticky kwa ajili ya refference hadi ndege ipatikane.
 
naona thread ishavamiwa na akina wakbar. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni . Jamaa kaelezea vizuri sn kama unapobisha na wewe njoo na uchambuzi wako siyo kuchafua uzi.
 
Kichwa cha habari hususan neno "kupatikana" linadanganya na limetufanya tuisome habri na tukakuta utumbo ni tofauti na matarajio ya "kupatikana" kiukweli.

Hapa tuliopatikana ni sisi na si ndege iliyopotea.

Sioni kwanini uone uongo kuwa unafaa kuwekwa kwenye sticky. Labda kichwa cha habari kibadilishwe na kuwa "kutopatikana"...

Mkuu nadhani wewe kazi yako ni kutafuta mapungufu tu huna jipya zaidi. Nenda kwenye jukwaa la sias. I doubt If you even have a knowledge of physics. Poor you
 
Hii post imeshiba, lazima mojawapo litaleta ukweli.

Analysis yote imeharibiwa na uongo wa kututamanisha kwa kuweka neno "kupatikana", hiyo ni hadaa kwa wanaofatilia habari ya hii ndege. Na hadaa ni mbaya kuliko hayo yalioandikwa.

Inafanya niamini kuwa Liganga ni kiwanda cha uongo.
 
Last edited by a moderator:
This thread is very important kwa kutunza kumbukumbu za tukio hili. Ngoja nifanye mpango itendewe haki ikae panapostahili Great Thinkers na iwe Sticky.
 
Back
Top Bottom