FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mkuu nadhani wewe kazi yako ni kutafuta mapungufu tu huna jipya zaidi. Nenda kwenye jukwaa la sias. I doubt If you even have a knowledge of physics. Poor you
Kumbuka kuwa hakuna kitu kibaya katika kuandika habari muhimu kama hii kama hadaa na uongo.
Jee, wewe umefurahishwa na hadaa iliyofanyika? Utakuwa ni punguani wa fikra kama mapungufu hayo ya hadaa na uongo yamekufurahisha.
Yes. Mimi nasoma sana mapungufu na huwa sipendi kudanganywa na wengine wengi kudanganywa. Ni ama nyeusi ama nyeupe lakini si kijivu.