FLIGHT 370: Kupatikana kwa ndege ya abiria ya shirika la Malaysia - Inawezekana?

Mkuu nadhani wewe kazi yako ni kutafuta mapungufu tu huna jipya zaidi. Nenda kwenye jukwaa la sias. I doubt If you even have a knowledge of physics. Poor you

Kumbuka kuwa hakuna kitu kibaya katika kuandika habari muhimu kama hii kama hadaa na uongo.

Jee, wewe umefurahishwa na hadaa iliyofanyika? Utakuwa ni punguani wa fikra kama mapungufu hayo ya hadaa na uongo yamekufurahisha.

Yes. Mimi nasoma sana mapungufu na huwa sipendi kudanganywa na wengine wengi kudanganywa. Ni ama nyeusi ama nyeupe lakini si kijivu.
 
Nashukuru FaizaFoxy kwa maoni juu ya kichwa cha andiko hili na hasa Moderator kwa kuchukua hatua.

Kwa wasomaji waliokwazwa kwa namna yoyote niwieni radhi. Kuna mitindo mingi ya uandishi wa habari, makala na vitabu. Nahamini wengi wenu mmepata kusoma fasihi au lugha katika ngazi mbalimbali. Haikuwa kusudio kuleta upotoshaji wa aina yoyote bali dhima kuu iliyokwenye andishi ni kuchokoza akili na kupata mitazamo mingine wakati tukiendelea kutafakari yaliyojili kwa ndege ile na abiria wake.
 
Last edited by a moderator:
Kama kichwa cha habari kimekosewa isiwe kigezo cha kuipuuza taarifa yote. Wewe unaesema huu ni uwongo ni vyema ukatuletea huo ukweli na kama huna basi acha kelele.
 

Unless kama hicho kichwa cha habari kimebadilishwa sasa na kuongezwa neno "inawezekana?" otherwise utakua umekosea ww FF.
Nevertheless kuita content ya huyu mkuu hapa "utumbo" ni dhahir utakua na tatizo la uelewa na hivyo ku ponda usivyovielewa badala ya kujifunza au kukaa kimya tu.
Mkuu Liganga kwenye swala la baadhi ya simu kupigwa na kusikika zikiita alitokea telecommunication engineer mmoja akasema hio ni possible sababu kabla ya simu ku connect huwa inaenda kwenye mitambo ya simu kwanza ili iwe connected na simu ya mtu. Je unakumbuka kipindi hata airtel ilikua na mtindo huo? Unampigia mtu na simu inaita kweli ila kumbe huyo mtu hayuko kwenye network!
Lakini ukweli bado upo kuna usiri siri sana kwenye hili swala, yani saaaana. Viulizo ni vingi kuliko majibu.
 
Last edited by a moderator:
Good analysis we are getting where to start hususani kwa hao Engineers for sure am telling you watu wanajua ndege ilipo hiyo sio buree. Am sure ndege ipo lazima hawa CIA, MOSSAD na Intelligence Nyengine wanajua sana. Ambalo wengi hatujui ni unafki wa mataifa ya magharibi nje wanaonekana kama wana ma bifu ila they know what they are doing
 

Una busara kubwa kuliko hao wanaotaka kupuuza juhudi zako katika kuleta habari hii.
 
Last edited by a moderator:
kwa uchumi wa ulaya ulivyokaliwa kooni na wa asia, nahisi harufu ya cold war hasa hili suala la kuwemo wahandisi ndani ya ndege
 
Mkuu achana na Faiza.Kichwa naamini ulikosea kidogo tu lakn Ujumbe na maudhui umeeleweka sana.Nasikia watu wako salama na wanaplan kuharibu ndege na kutupa majini kuudanganya umma kwamba ndege ilicrush. Laknk ndege haijacrush!!! Nachoweza kusema CIA wanajua wanachofanya. This will be revealed soon for those who have senses to sense.
 

Sidhani hata kama umesoma habari yenyewe na kama hii analyisis ni uongo lete ya kwako iliyo kweli na isiyo na doubt.
 
FaizaFoxy ungeenda kwenye ile mada yako ya Rwanda ...hii tuachie tunaopenda uongo...salama lkn
 
Last edited by a moderator:
Sidhani hata kama umesoma habari yenyewe na kama hii analyisis ni uongo lete ya kwako iliyo kweli na isiyo na doubt.

Ningekuwa sijausoma utumbo wa habari nisingeweza kugunduwa kuwa kichwa ni uongo.

Fikiri japo kidogo.

Ukweli ni kuwa mpaka inapoletwa habari hii ndege ilikuwa haikupatikana na si kama tulivyodanganywa kwenye kichwa cha habari. Upo hapo ulipo?
 
Yeah nimesoma na kuelewa mambo mengi
 
Ukweli ni kuwa ndege haikupatikana. Na kututamanisha kwa kuanza na maneno "kupatikana kwa ndege..." Ni uongo dhahir shahir.

Ni punguani tu ataekataa hilo.

Heading ilishabadilishwa dadangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…