Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 51
Kaka umefunika, nadhani JF ilianzishwa kwa malengo kama haya, kwa maana watu watoe mada zenye kumfanya mtu afikiri na kunufaika. Hii ndiyo maana halisi ya The Great thinkers. Big up brother kwa habari zilizoenda shule
Liganga uchambuzi wako muafaka, nina wasiwasi mchezo mchafu umefanyika hapa maana kuna patent right ya kifaa ambapo wenye hiyo haki wanne wamo kwenye hiyo ndege amebaki Rothschild pekee hivyo kutamfanya kuwa na patent right ya 100% peke yake.