mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Ngoja kijana Gwajima amuone huyu demu, muda si mrefu Mbasha ataanza kulia tena mitandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh!!So sababu ya huyo to imedhihirisha hayupo...[emoji52][emoji52][emoji52]Mpaka mama Mchungaji anatuonesha chura wa "unga robo" ?
Hapo ndipo utajua Mungu hayupo, angekuwepo, Mama mchungaji angekuwa na heshima kidogo.
Utakuwa WiFi wa huko frola alikoolewa.Kabisa sijaona msambwanda wowote.
Wewe ni kabila gani?huyu jamaa mi huwa namuonaga mshamba mshamba flani hivi,sijui ni msukuma huyu au mpare wa bwiko huko?
Hahah mmiliki wa uzi kamjaza sifa sana huyo manzi eti snura anasubiriKabisa sijaona msambwanda wowote.
Hahah naona umetumia fulsa mkuuMpaka mama Mchungaji anatuonesha chura wa "unga robo" ?
Hapo ndipo utajua Mungu hayupo, angekuwepo, Mama mchungaji angekuwa na heshima kidogo.
Usikariri hakuna kitu kama hichoAnafanya uzinzi tuu,
Ndoa iliyofungwa kanisani inatenganishwa qa kifo tu.
Huo mkono kwenye nywele za huyo dada ni wa nani?Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja baada ya harusi yao hapo mwezi wa pili. View attachment 944330
Wakuu yapi maoni yenu
WakandaWewe ni kabila gani?
Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja baada ya harusi yao hapo mwezi wa pili. View attachment 944330
Wakuu yapi maoni yenu
Sawa Ambaruti.Utakuwa WiFi wa huko frola alikoolewa.
Sawa Ambaruti.
Acha Uzwazwa wewe mbwiga,ukileta maneno ya shombo unajibiwa majibu ya shombo....Unajibiwa kama ulivyokuja....Ban ya nini wakati kuna Ignore List?Mkuuuu husilazimeshe nipate baniii humu....pita zako tuu!!!
Acha Uzwazwa wewe mbwiga,ukileta maneno ya shombo unajibiwa majibu ya shombo....Unajibiwa kama ulivyokuja....Ban ya nini wakati kuna Ignore List?
hahaha....aiseee...huko bwiko kuna umeme kweli?huyu jamaa mi huwa namuonaga mshamba mshamba flani hivi,sijui ni msukuma huyu au mpare wa bwiko huko?