Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti'Baba mchungaji lol😄😄😄😄Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja baada ya harusi yao hapo mwezi wa pili. View attachment 944330
Wakuu yapi maoni yenu
Mpare
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu Wapare wa Bwiko tumekufanyaje? mbona Emma sio wakwetu kabsahuyu jamaa mi huwa namuonaga mshamba mshamba flani hivi,sijui ni msukuma huyu au mpare wa bwiko huko?
Na kuna hatari atakuwa nae ni mpopoaji wa misambwandanaona anatulingishia msambwanda tu, hakuna utambulisho wa kutiana genye
Spare my ribs dude!Mapaka mama Mchungaji anatuonesha chura wa "unga robo" ?
Hapo ndipo utajua Mungu hayupo, angekuwepo, Mama mchungaji angekuwa na heshima kidogo.
Hakuna anayeweza kufanya hili hata awe naniAnafanya uzinzi tuu,
Ndoa iliyofungwa kanisani inatenganishwa qa kifo tu.
Hawa "watumishi" wengine washagundua Mungu hayupo.Spare my ribs dude!
Kuna mahali huyu mbasha ana komenti kuwa hata kwa Mungu Kuna masupa staa. Ns yy no supa staa konki master kamanda was Yesu. Yaan niliishia kusema kwwli Mungu so mwepesi wa hasira
Tangu nilipojiunga jf 2015 sikujua kuwa wewe ni mwanamkeWanawake tuna roho nzuri sana.
Amesema hapo ndo utaamini hayupo ,acha kukurupuka mkuuumeanza lini kuamini uwepo wa Mungu?
Snura Mushi kutoka Kilimanjaronaona anatulingishia msambwanda tu, hakuna utambulisho wa kutiana genye
mama mchungaji ana tako la chini chini kama la bata bukini
Huyo mama mchungaji anatibu nguvu za kiumeBaada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja baada ya harusi yao hapo mwezi wa pili. View attachment 944330
Wakuu yapi maoni yenu
watu mna maneno jamani!Huyo chura kitaa anaitwa "unga robo".
Ukicheza mbali hata uji hunywi.
ndio maana yuko vile..Kama kumbukunbu zangu ziko sawa..Pascal Mayala ni msukuma.