Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kondoo wake?Baada ya Flora kufeli kumpa kesi nzito ya kuhujumu uchumi aliyekuwa baba mchungaji Emma Mbasha ,hatimaye jamaa amemtambulisha mchumba wake kwa jamii na wanatarajia kutoa albamu yao mpya ya pamoja baada ya harusi yao hapo mwezi wa pili. View attachment 944330
Wakuu yapi maoni yenu
Huyo Mungu mbona mchoyo hivyoooo?Ana onyesha Mungu alichombariki ahahahaah
vitu gani hivi?
Mimi sina miapakanamkaba Mungu anavyosemwa hana mipaka.Mpaka huku mkuu??????[emoji23][emoji23]
Wapi umepata wazo kwamba nimeanza kuamini uwepo wa Mungu?umeanza lini kuamini uwepo wa Mungu?
Neema za Allah.vitu gani hivi?
Hawa wengine kobe si kobe, kenge si kenge, lakini si chura, washapita chura.
@kiranga UlitakaMungu akupe wewe chura siyo????Huyo Mungu mbona mchoyo hivyoooo?
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀.Hawa wengine kobe si kobe, kenge sikenge, lakini si chura, washapita chura.
Na wewe unataka msambwanda ?Huyo Mungu mbona mchoyo hivyoooo?
Kumbe we mpare[emoji15] [emoji15]Ila huyu jamaa anatuaibisha wapare .. Sana mdomo mrefu sana huyu mwanaume
ha ha ha ha hawa ni wa kula na kuacha tuNeema za Allah.
Hahaa ulijua mpemba auKumbe we mpare[emoji15] [emoji15]
Kabisa hawafai kuweka kambi.ha ha ha ha hawa ni wa kula na kuacha tu
Mi nina ka Alfa Romeo ka Standard Temperature and Pressure.Na wewe unataka msambwanda ?
Sisi wengine bila nyama ilionona kwa kweli mate yetu huwezi kuyaonaMi nina ka Alfa Romeo ka Standard Temperature and Pressure.
Nyambizi kwani mi mwanamaji?
Siku nyinge nakabeba mwenyewe, sitaki tabu.
Uchu tu, unaweza kupewa nyamaukashindwa kula,sababu ya nyama.Sisi wengine bila nyama ilionona kwa kweli mate yetu huwezi kuyaona