Hizi ni tetesi ambazo wadau wa sheria wamenikonyeza na mimi kuamua kuziweka hapa,haijulikani atarudisha jina la baba yake au ataweka la mchungaji mmoja maarufu, inasemekana jina hilo litaonekana katika albamu yake ambayo imejaa vijembe na kumtukuza mwandani wake mpya
Hizi ni tetesi ambazo wadau wa sheria wamenikonyeza na mimi kuamua kuziweka hapa,haijulikani atarudisha jina la baba yake au ataweka la mchungaji mmoja maar
ufu, inasemekana jina hilo litaonekana
katika albamu yake ambayo imejaa
vijembe na kumtukuza mwandani wake
mpya
Hali hii inatisha km ndo hivyo....
Na kumbe
Michael jackson hakuoa aliona mbali ..akakubaliana na hali halisi ya kizazi
maana naamini kila mtu anapenda kuwa na mwenza all life in imagination..
Issue kuileta image kwenye uhalisia ndo shida apo sasa
Du kaona chopa unafikiri atakubali kurudi tna mbasha
Acheni majungu!! toeni habari ambazo mna uhakika nazo