iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,927
Hizi ni tetesi ambazo wadau wa sheria wamenikonyeza na mimi kuamua kuziweka hapa,haijulikani atarudisha jina la baba yake au ataweka la mchungaji mmoja maarufu, inasemekana jina hilo litaonekana katika albamu yake ambayo imejaa vijembe na kumtukuza mwandani wake mpya