MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Na adhabu yao ni kupigwa mawe mpaka umauti.Hommie, Hao wote kibiblia wanaitwa Wanawake Wazinzi.
Halafu wamefanana kwa Roho Mbaya, yaani Joyce Kiria na Flora Mbasha
Dini biashara[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kumbe ndo maana mungu alimuepusha yule jamaaFlora Mbasha hajui hilo
Yeye ni Muhuni mkubwa na ana Roho Mbaya sana.
Namhurumia sana huyo Daudi.
Kama kuamua kuolewa inabidi aache kutumia jina la Mbasha kibiashara vinginevyo inabidi kuwe na mkataba wa kibiashara ya kutumia jina kama Tina Turner alivyokuwa jina la mtalaka wake.Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza.
Madame Flora ameliambia Swaggaz kuwa ndoa hiyo itaambatana na uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa Wakati Wake pamoja na kitabu alichokipachika jina la Siri za Flora Mbasha.
“Ndoa itafungwa asubuhi na jioni kutakuwa na sherehe ya harusi, utambulisho wa albamu yangu mpya pamoja na kitabu, watu wote wanakaribishwa kadi zimebaki chache tu kutokana na idadi ya ambayo imepangwa na kamati,” alisema Flora.
Chanzo. Mtanzania
Takbiir..!Na adhabu yao ni kupigwa mawe mpaka umauti.
Kiria alikuwa anapotosha wadada wenzanke na WANAWAKE LIVE yakeHommie, Hao wote kibiblia wanaitwa Wanawake Wazinzi.
Halafu wamefanana kwa Roho Mbaya, yaani Joyce Kiria na Flora Mbasha
Kabisa, yaelekea jamaa ni mwanamaombi.Kumbe ndo maana mungu alimuepusha yule jamaa
Joyce Kiria kwasasa ndio mwanamke namba 1 mwenye Stress nchini, ana chuki na wanaume utafikiri hakutokana na mbegu za mwanaume.Kiria alikuwa anapotosha wadada wenzanke na WANAWAKE LIVE yake
Nakumbuka tu mume wake alivokula za uso 2015 kwenye uchaguzi. Na yeye si Aliachikia kwa Dj NELI [emoji2] [emoji2]Joyce Kiria kwasasa ndio mwanamke namba 1 mwenye Stress nchini, ana chuki na wanaume utafikiri hakutokana na mbegu za mwanaume.
Taulo chakavu, dekio jipyaMchungaji fulani aliwahi kuuliza kuwa kwa nini baadhi ya wanaume wanapenda kula makombo? Hivi hawaoni kinyaa? Mwanaume mwenzako anatupa na wewe unafurahia kuokota makombo.
Kweli wanaofaa kuolewa hawap kuwa sirias bwanMimi wazazi pia huwa wananikumbusha hilo ila huwa siwajibu chochote lakini sababu ni kwamba Sioni aina ya wanawake wafaao kuolewa.
Allah akbarTakbiir..!
Hili kundi ni kubwa sana...daahMimi wazazi pia huwa wananikumbusha hilo ila huwa siwajibu chochote lakini sababu ni kwamba Sioni aina ya wanawake wafaao kuolewa.
Anawazibia riziki[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kweli wanaofaa kuolewa hawap kuwa sirias bwan
Ni kweli kabisa...acha tule maisha tu kwasasa.Hili kundi ni kubwa sana...daah
Mie tayr mbon alhamdulillahAnawazibia riziki[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]